Nimewahi kuwa changudoa, nimjulishe?

Nimewahi kuwa changudoa, nimjulishe?

mmh hivi kaka yako akikueleza kuhusu kutaka kumuoa former changudoa hutamkosoa???
nina kazi nina kijiIST ila nawaza sana itakuwaje ikibumburuka

Ndo na Mimi nakuambia kua why ujute baadae bas ni vyema uwe mkweli tu
 
kwa hiyo nsubirie mpaka aambiwe aanze kunibwatukia????

Wana ushahidi gani ??? Hata wakimuambia aamin? Kua karibu nao hao ndio watakufanya usiishi kwa amani rafiki tu uanshindwa kuwachenga kutokua nao karibu
 
kama nlivyokwambia kua hukufanya kwa mapenz yako ila mazingira yalikulazmu kufanya hvyo? kuna tatzo gan kumwambia as long mpka sasa hujaonyesha tabia tofaut kwake so ataumia ila kama kwel ni muelewa talichukulia hilo swala in positive way! ila warning usje ukafnya chochote relating to uchangudoa hapo utamfanya aamin kua baado una hizo tabia

anyway kujiua iweke last option kama hata kama mim ntakukataa
siku nkigombana naye jambo dogo tu sia ataanza kusema ninamletea kelele za kichangudoa?
ikiwa hata wewe umeshapanga kutotaka kuwa na shemeji wa aina yangu mimi nitamfaa nani dunia hii?
 
Hhhhhaaaaa ndo hapo halaf wana ushahidii??? Dunia hii sema ukwelii uoneee sie wenyewe tunadanganyagwa vya kutoshaaa
unaulizwa umeanza lini mahusiano chuo .. wakati darasa la saba ndiyo umeanza.... haya umetembea na wangapi mmoja we wa pili.. kudadeki ukiweka list hapo coaster inajaa.. ha haha shoga wee mie nakudanganya mpaka unaona ukweli,,, ukibisha kitandani nalia wakati wa kunjunjana
 
Acha woga kama hao wadada wana picha zako wakati mnafanya hayo mambo sawa ni bora ukamwambia mapema especially kama wanamjua huyo the guy, lakin kama hawana Evidence kaa kimya and for your own good treat 'em as strangers, sio kila wakati kweli ina muweka mtu huru there are conditions always tusikariri
eti kaka yangu wewe unaweza kumwoa msichana aliyewahi kujiuza tena miaka kitatu?
 
Aisee kwa kweli tunatofautiana yaani Mimi napenda ukweli

Hata police watu huambiwa sema ukweli utakua huru weee ukisema tu ,jela hiyoooo moja kwa moja
Halaf huyo anaeambiwa ukweli atalipokeajee??
 
Sasa ukitaka hayo nyamaza kufa na yako moyoni ukisema tu ndoa hataiona na ukiiona utaiona chungu

mwache na kihere here chake aje alikoroge, navyojua wanaume akimwambia tu jamaa anasepa ndoa inayeyuka
 
Hata police watu huambiwa sema ukweli utakua huru weee ukisema tu ,jela hiyoooo moja kwa moja
Halaf huyo anaeambiwa ukweli atalipokeajee??

Unajua mamy Kama alipangiwa wako wala hainA maaana Ila Kama hakua wako lazima utamkosa tu ni saw a na kutaka kubadili cheupe kiwe chekundu duh haiwezekani
 
usimuambie mpenzi kufa nalo moyoni
pole sana dada maisha haya jamani watu wanapitia mapito mengi sana
 
siku nkigombana naye jambo dogo tu sia ataanza kusema ninamletea kelele za kichangudoa?
ikiwa hata wewe umeshapanga kutotaka kuwa na shemeji wa aina yangu mimi nitamfaa nani dunia hii?

kwan mim nmekukataa?? teh teh anyways yote hayo yanatokana na uelewa wa huyo mumeo mtarajiwa na pia atlist utakuwa umetua mzigo mzito na utajua hilo ni gubu la kawaida tu mama coz ukwel unajua hukufanya kwa nia mbaya na nafs yako iko huru!
 
Duh!pole sana japo kuna mambo mengine niyakuyanyamazia tu rohoni ili siku ziende maana huo uchangudoa ulioufanya hata ukimwambia sioni kama utasaidia chochote katika maisha yako ya sasa hivi
 
  • Thanks
Reactions: BAK
it wasnt your will kua changudoa hustle za maisha zilikufanya uwe vile na hata hvyo hyo kaz ilikufanya ufike hapo ulipo sasa? naamin hata wadogo zako hawajui hilo kutokana na maelezo yako. kwa ushaur anza kuongea na familia yako ukifanikiwa hapo ukaongee na mchumba wako!

am proud of what you did si kwa kua changudoa ila kwa umr wako kuweza kusimamia wadogo zako na wewe kusoma mpaka chuo kikuu

yani mi mwenyewe nampongeza huyu dada kwa aliyoyafanya
yaani MUNGU ni mwema sana
 
Pole sana, ila hizi details ulizoweka humu mhhhhhh! Kama hayumo humu ni ahueni kwako au mtu mliyekuwa mnasali pamoja ambaye anaweza kujumlisha hizi details na kupata jawabu wewe ni nani. Pole sana tubu kwa mola wako kisha umuombe akusaidie. Ukiamua kufunguka hujui mwenzio ataumia vipi na maamuzi yake anaweza kabisa kukupiga chini. Pole sana.
 
Back
Top Bottom