Carry on with your life, jisamehe nafsi yako halafu funga hiyo chapter. Hata akija kujua kutakuwa hakuna athari. Let God/Nature take its course. Ndio maana ya kumkabidhi Mungu. You are a new person now, right? Why worry......
Na kwa kuongezea, kwani umemkosea nini hadi u confess kwake, just clear your conscience and that's all.
najihisi nimefanya makosa makubwa mno na naona kama ikijulikana ntakuwa nalidhalilisha kanisaUnajitesa acha kuukimbia ukweli,mwishowe utajikana mpaka mwenyewe...ur struggles made you survive and strong but dont let them define you!
dada, Mungu akusaidie. ninaomba usipate shida hivyo, maisha yako yapo mikononi mwa Mungu si mikononi mwa mwanadamu. mwanaume bora ataletwa na Mungu sio wanadamu. wewe mwangalie Mungu, haukuwa hata na umuhimu wa kuhama kanisa, ulitakiwa kubaki tu Mungu atakusaidia, kama kuna mtu atavujisha mwache avujishe, hata katika kuvujisha huko Mungu atakusaidia tu. hayo ni maisha ya zamani. sisi sote tulikuwa malaya sana, nimelala na wanawake wengi sana na nina watoto nje ya ndoa wengi, lakini ilifika kipindi nikaamua kumrudia Mungu, nimebadilika, nikikutana na mtu aliyekuwa malaya zamani, simhukumu kwa mambo yake ya zamani.
ya kale yamepita, tazama yamekuwa mapya. unachotakiwa kufanya, rudi palepale kanisani, wewe fanya mambo mema ili matendo yako yakutetee, hata mtu akisema ulikuwa changu kwa kuona matendo yako atasema ohhh lakini amebadilika kabisa sio kama yule wa zamani. wanawake wengi wanaoolewa walishawahi kufanywa na wanaume wengi sana, tunaoa basi tu. sisi wanaume pia tumelala na machangu wengi tu. mimi binafsi nimelala na machangu rundo, nimelala na wahudumu wa hoteli rundo, nimelala na wahudumu wa migahawa rundo....machangu wa kuwalipa kabisa rundo hadi wengine nikikutana nao siwakumbuki sura, na hata kama kanisani kwangu mtu atasema nililala na mimi, nitasema ohhh really, kumbe nilishawahi kulala na wewe, lakini nitamwambie siku hizi nimeokoka siko vile tena moyo wangu umebadilika, matendo yangu yamebadilika sasaivi nina Yesu na kwakuangalia matendo yangu yeye mwenyewe hata mdomo hatafungua na hata akifungua hatakuwa na madhara yeyote kwangu. watu wote sisi tulikuwa waovu tu zamani bila neema ya Mungu tungeshakufa zamani. wewe hauko tofauti na wanadamu wengine waliokosea sana, cha muhimu tu unatakiwa kujitahidi umwombe Mungu aondoe tamaa ya uzinzi, kama tamaa ikiondoka basi, wewe ni msafi na usiwe na wasiwasi. unasikia?
unayoongea ni kweli ila ujua naitaji mme, naitaji mtu wa kufikiria kwa niaba yangu, naitaji mtu wa kuplan kwa niaba yangu, naitaji kuongozwa na sio kuongoza tena na huyu mmasai ndiye right person
bora kutukanwa naogopa kuachwa na kuonekana nimelidhalilisha kanisaDah!!!!!! usijaribu aisee kumwambia, yaliyopita yamepita, uhuru gani wa moyo unaotafuta bhana??????? hata akija jua kwani wana picha zako hao watoa habari???? watu wanakana hadi kaburini wakati wamekutwa ana kwa ana ije kuwa stori yakuambiwa, Kaa na lako moyoni, ndio maana wahenga wanasema "wanawake matusi mengine toka kwa waume zao wanajitakia wenyewe"
Hawa wanaume sio kabisa, ukikosa jambo huweza kukutukania hadi kuku wa nyumbani kwenu, sembuse umwambie hilo si itakuwa kama alarm ukikosa.
thanks na ubarikiwe
ntaku-update kila stage ntakayochukua
naogopa sana atakavyoreactKama tyr umejisalimisha kwa Yesu,ni bora ukayatapika yote ili uwe huru,huwezi ukawa huru ikiwa kuna kitu kipo ndani yako kinakukereketa..hicho kitakutesa na kukusababishia uwe mfungwa na mtu una hana hama,katika huduma.
Nataka nikutie moyo,hakuna aliyekuwa mkamilifu sisi ni wanadamu tu,tunapitia Mengi na kwa sabb tofautitofauti,mpk pale unapopata tumaini jipya kwa kumpata Yesu Kristo.
Hivyo mwambie tuu,kama huyu ni mume wako,atakuwa wako tu.hata kama atayapokea kwa style gani yale utakayomwambia,
kama sii wako,basi Mungu atakupa wako,
Mwekani wazi tu,
Hata afya yako mweleze ukweli
Over.
Nini maana ya changudoa? Kufanya na watu usiowajua in return for money? Na wanaotembea na wanaume 20 kidogo in the name of boyfriend na wanapewa "hela za matumizi" are they any better? Hawa huwa wana confess kwa wachumba wao? To me kuna different levels za "uchangudoa" from kujiuza barabarani to kubadilisha partners kila kukicha na kuhongwa pesa. Sioni kama wewe ndo mkosefu kuliko wote, kila mmoja ana lake. Wangapi wamekuwa na one night stands kibao, na wanadunda tu na leo wanaweza kuku judge wewe. Songa mbele u seem to regret thats good coz ni step ya kuomba forgiveness. Truly repent and forgive urself. Hakuna atakayekuja kukwambia umesamehewa, wewe omba msamaha to ur God and be a better person everyday. Nafsi yenye kujutia dhambi ni bora zaidi na ita heal
kosa langu ni kubwa sana halivumiliki yaan ni bora ningekuwa na makosa mengiene yote hata kuua angeweza kunielewa lakini si kulala na miwanaume kibao kwa pesa
marytina, ulsema ulionana na madem siku moja, unauhakika gani kama wataendelea kuwepo?...alafu kumbuka hujamkosea bf wako,hamkuwa kwenye mahusiano bado,so wasiwasi wako nn?
it wasnt your will kua changudoa hustle za maisha zilikufanya uwe vile na hata hvyo hyo kaz ilikufanya ufike hapo ulipo sasa? naamin hata wadogo zako hawajui hilo kutokana na maelezo yako. kwa ushaur anza kuongea na familia yako ukifanikiwa hapo ukaongee na mchumba wako!
am proud of what you did si kwa kua changudoa ila kwa umr wako kuweza kusimamia wadogo zako na wewe kusoma mpaka chuo kikuu
kuisoma tu hii post yako natetemeka, usiku kama tumechelewa kurud akiwaona machangudoa husikitika sana na hufokea mpaka usukani wa gari anayoendesha.......roho huniuma sanaNOPE.....Jipange kwa maombi MUNGU aandae moyo wa jamaa katik kumtel ukweli otherwise utakuwa unaishi kinafiki it wil eat inside, jamaa aki learn ukweli nje itakuwa worse
WOKOVU utakuwa hauna kazi kama usipo kuwa wazi the guy anastahili ukweli tena utoke kwako otherwise jipnge for the worst
bora kutukanwa naogopa kuachwa na kuonekana nimelidhalilisha kanisa
Mkuu Marytina kwanza pole sana,lkn unanisikitisha sana kuogopa kile nilichokiwekea rangi. Hutakuwa wa kwanza kuachwa. Kutokana na Maelezo yako,pamoja na kuolewa lkn bado jambo hilo linakuumiza ww binafsi. Hapa unajaribu kumuweka mumeo km ngao ya kutoa kile kilichokukaba muda mrefu. Me nakushauri,mwambie haijalishi matokeo kwa upande wake yatakuwa chanya au hasi. Muhimu hapa ni wewe kutua huo mzigo. Akikuacha sema ahsante Mungu,baada ya kukuacha Mungu hatakuacha,lazima atakuonyesha mlango mwingine wa kutokea. Ukweli siku zote ndo wenye matokeo chanya kuliko uongo.bora kutukanwa naogopa kuachwa na kuonekana nimelidhalilisha kanisa
nimekukumbuka pia!That's up to you then, you know what to do. Halafu nimekukumbuka sana Marytina you always have these weird stories.....
Interesting....