Nimewa miss humu ndani

Nimewa miss humu ndani

Wengi wanaoaga ni attention seekers
Kifupi ni kua hawaridhiki.

Pamoja na kua ni viumbe pekee wanaopewa attention 24/7 hapa jf, ila bado wana vioja vya kuaga na kurudi ghafla.

Bila shaka kuna target zao, kuna wamba wanawaelewa ila kuwaambia hawawezi, wanatumia mbinu za kijasusi zilizopitwa na wakati wakidhani kila Me karne hii anababaika na hizo propaganda.

Mkuu mshauriane huko kwenye vikao vyenu, kama hata wewe unanikubali Vishu Mtata , agent makini 007(daboziroseven) niambie, pm iko wazi.
 
Kifupi ni kua hawaridhiki.

Pamoja na kua ni viumbe pekee wanaopewa attention 24/7 hapa jf, ila bado wana vioja vya kuaga na kurudi ghafla.

Bila shaka kuna target zao, kuna wamba wanawaelewa ila kuwaambia hawawezi, wanatumia mbinu za kijasusi zilizopitwa na wakati wakidhani kila Me karne hii anababaika na hizo propaganda.

Mkuu mshauriane huko kwenye vikao vyenu, kama hata wewe unanikubali Vishu Mtata , agent makini 007(daboziroseven) niambie, pm iko wazi.

😂😂 nikimkubali mtu namwambia kwanini niteseke wakati namuona
 
Nadhani JF ipewe kitengo Usalama wa Taifa na membars tulipwe na sirikale ya CCM humu tupo ma Spy wa Mossad,CIA ,KBG nk na hatuna posho nashauri kwa niaba ya wote tutangaze Jamhuri ya JF!
😁😁
Ni KGB (Established on March 13, 1954, the KGB, short for Komitet Gosudarstvennoy Bezopasnosti in Russian (which translates to the Committee for State Security in English), was responsible for gathering intelligence both domestically and internationally, conducting counterintelligence, protecting the leadership of the Soviet ...)


Mkuu na sio KBG
 
Back
Top Bottom