nodetz
Senior Member
- May 4, 2024
- 173
- 156
Habari wana jm.
Juzi katika pitapita zangu uko youtube nilikutana na video moja ya jaamaa anaitwa () ni mbongo mwenzetu alikua akielezea zofauti ya IT na cybersecurity ase niliumia sanaš„²š„².
Kilicho niumiza zaidi ni upande wa comment ase pale ndo niligundua watu wanapenda sana kujua udukuzi ni nini. Ila sasa sijui shida ni lugha au nini maana kuna taarifa nyingi sana zinazoelezea ayo mambo kwa usahihi japo si kwa kiswahili.
Ombi langu kwa wana jf
Najua humu kuna watu wanauelewa mzuri kuhusu ayo mambo basi wajitokeze kutuandikia uzi unao elezea ili kidogo watutoe tongotongo kuhusu hacking.
Juzi katika pitapita zangu uko youtube nilikutana na video moja ya jaamaa anaitwa () ni mbongo mwenzetu alikua akielezea zofauti ya IT na cybersecurity ase niliumia sanaš„²š„².
Kilicho niumiza zaidi ni upande wa comment ase pale ndo niligundua watu wanapenda sana kujua udukuzi ni nini. Ila sasa sijui shida ni lugha au nini maana kuna taarifa nyingi sana zinazoelezea ayo mambo kwa usahihi japo si kwa kiswahili.
Ombi langu kwa wana jf
Najua humu kuna watu wanauelewa mzuri kuhusu ayo mambo basi wajitokeze kutuandikia uzi unao elezea ili kidogo watutoe tongotongo kuhusu hacking.