Nimevunja uchumba rasmi, sitaki tena kuoa!

Nimevunja uchumba rasmi, sitaki tena kuoa!

Naomba Namba zake za simu tafadhaali maana hiyo michezo ya Ambaruty anayofanya imenifanya nitake kumuoa
 
Nishasema na narudia tena " Innocent and royal men normally get hostile feedback in relationship " they are the ones who care the most and get hurt the worst....
Demu anahonga pesa yako,analiwa mtaro daaaaah......
Wanaume bora endeleeni kuwa waaminifu tu na hakika mtalizwa sana na hawa wadada wa kileo.
Jomba ni kweli tupi uloiandika ila kuna muda hata kama ulikuwa Nyang'au inafikia muda unampata mmoja unaamua kumpenda kikweli na kumhudumia ipasavyo
 
Mbona unanizibia rizki mi ndo nilitaka kukaa, tunaojiheshimu hatupati wanaume
[emoji23] [emoji23] [emoji23] pole sana ungenishitua ili nisimwambie hayo, nafuta kauli, ila ulilosema kweli wale wasiotulia ndiyo wanapata waume wa maana watulivu hakuna kitu ila muombe Mungu utapata wakufanana nawe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sitaki kusema mengi ila huyu Bwana alishaambiwa tabia za huyu binti coz binti anataka sana kuolewa ila ni rafiki wa vijana wa bodaboda sana...ana ushikaji mwingi sana.

Mbaya zaidi dada yake ambaye ni Muhuni haswa ndiye mshauri wake.

Nina uhakika jamaa hawezi kupinga hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aise ukipenda sana huwezi ona kasoro, pole yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom