Nimevunja uchumba rasmi, sitaki tena kuoa!

Nimevunja uchumba rasmi, sitaki tena kuoa!

Tukupe tu pole kwani kuna lingine unahitaji? Loh
Hujaelewa tu kile anachohitaji mkuu!? Wadada wa JF mbona mnavaa miwani ya mbao!? Anahitaji faraja, usijeshangaa akafa yeye kuliko huyo mdada... Msaidieni kwenye hii interim period.
 
nikisemaga mie hapa wanawake chombo cha starehe mnaona mzabzab anachukia wanawake....haya sasa ndio muyaone. wewe usiwe mjinga mwanamke sio wakupenda kamwe. wee mchukulie wakugegeda tuu alafu lazima uwe na mademu wengi....wasipungue watatu.
 
Pole, kumuacha umefanya busara, ila busara zaid usingemjib sms ake
 
Uamuzi sahihi kwa mida sahihi. Vijana wengine wote semeni "Amina".

Na hii style ya kutafakali uhusiano kwa kushtukiza nzuri sana. Vijana chukueni hili desa litawaokoa.

Kama ilivyo kupimwa ukimwi kabla ya ndoa kuna haja ya mamlaka husika kuongeza kipimo cha marinda kwa wanandoa watalajiwa dunia inakwenda kwa kasi sana.
 
POLE mkuu kwa mkasa. next time uwe na njia mbadala yaani ukiweza kuwa na wanawake hata watano ,taratibu unawafanyia vetting,hakika hautopata taabu sana kama ukiwa na kamwanamke kamoja...
kwa sasa tulia kwanza,akili irudi at normal
 
POLE mkuu kwa mkasa. next time uwe na njia mbadala yaani ukiweza kuwa na wanawake hata watano ,taratibu unawafanyia vetting,hakika hautopata taabu sana kama ukiwa na kamwanamke kamoja...
kwa sasa tulia kwanza,akili irudi at normal
Una mshauri awe na wanawake wengi, hatari watu hamuogopi ukimwi na magonjwa mengine.
 
Umenikumbusha rais wangu na ziara za kushtukiza...[emoji23][emoji23][emoji23]
Hao huwa ni mafundi wa kuandika wakiwa nyuma ya keyboard so usimshangae ukirudi kwenye real life ndo huwa hawali hawa siku 3 wanalia tu [emoji3][emoji3].
Mimi wangu huwa simu nashika asee ingawa sio mara zote ila siku tu unamwambia naomba simu yako akisita sita kunipa tu kaachika.
 
Mungu akutie nguvu tuu utavuka hakuna mwanadamu ambaye hajaumizwa Moyo, kuwa na subira msamehe, endelea na maisha yako mwombe Mungu atakupa mke sahihi
 
Una mshauri awe na wanawake wengi, hatari watu hamuogopi ukimwi na magonjwa mengine.
kwa nia njema na usalama zaidi. sijamaanisha afanye mapenzi na hao wanawake wengi. tatizo tunaanzaga kusex kwanza,nalo ni kosa.
 
Uhamuzi wa busara huo. Endelea na mambo mengine, huyo achana nae.
 
kwa nia njema na usalama zaidi. sijamaanisha afanye mapenzi na hao wanawake wengi. tatizo tunaanzaga kusex kwanza,nalo ni kosa.
Mfano hao watano wote akigundua wana msaliti si atakufa kwa presha, kama una mkosi kwenye mahusiano huwezi kubadili kwa kweli hata uwe nao Mia la muhimu kuomba sana upate aliye sahihi kiasi ambacho unaweza kuvumilia.
 
Ukiwa na mwanamke alieanza kutumoa tigo we hata uwe na mchi/mtwangio at a upige usiku kucha na hata ukipiga wiki kama yule aliyefia baada ya kupiga 7 days of the week bado utaendelea kugongewa tu!!!!Lakini kama amefumuliwa kwa mwaka ni lazima tigo itakuwa na userious kidogo sasa sijajua wewe unapigaje ndani ya huu mwaka hata kumgeuza geuza hakuna????Ungejaribu mbuzi kagoma kwenda na kuna mwanga lazima ungegundua kitu.
Yote kwa yote thanks kwa zawadi/chai ya xmass and boxing day 2018.
Hee wewe huyu mtu kwa kuandika tu anaonekana ni mtu wa dini mnooooo. Jiongeze bhana mtu wa dini na hayo mastyle ya sodoma wapi na wapi???? [emoji23] eti ambinue[emoji23][emoji23][emoji23]...
 
Hee wewe huyu mtu kwa kuandika tu anaonekana ni mtu wa dini mnooooo. Jiongeze bhana mtu wa dini na hayo mastyle ya sodoma wapi na wapi???? [emoji23] eti ambinue[emoji23][emoji23][emoji23]...
Nakusalimia mpendwa
 
Back
Top Bottom