Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,010
- 54,203
Halafu huku nilipo kuwepo mimi ni usiku mama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kapike chai. Em nambie kwa hali unavoiona leo tuwe me au ke???
Halafu huku nilipo kuwepo mimi ni usiku mama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kapike chai. Em nambie kwa hali unavoiona leo tuwe me au ke???
Kwa hali ya leo tuwe me hakuna namna 🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kapike chai. Em nambie kwa hali unavoiona leo tuwe me au ke???
hahahahahahahInaweza akawa anampenda,lakini wanawake hawatabiriki,kila siku akiamka anaamka na akili mpya,ukiwa mweupe atataka mweusi,ukiwa na dushe atasema unamuumiza atatafuta bamia,ukiwa mrefu atasema hauna pesa,ukiwa una gari atataka fundi nguo,yaani kama mnajenga mnara wa babeli,ukimwambia alete nyundo,yeye analeta jembe,binafsi nilishakula kiapo kuwa mwanamke atakayekula hela yangu kwa nafasi na bila ya mimi kuwa na kinyongo ni yule aliyenizalia mtoto na kuthibitika kuwa huyo mtoto kweli ni wangu,kinyume na hapo nitaendelea kuwadonoa kwa mali kauli mwanzo mwisho...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ole wako nikukute sehemu unajibebisha asa. Ole wako!Kwa hali ya leo tuwe me hakuna namna [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hahahahahahaahhaaaa..duh watano wote wawe vimeo,hapo kuna shida basi.Mfano hao watano wote akigundua wana msaliti si atakufa kwa presha, kama una mkosi kwenye mahusiano huwezi kubadili kwa kweli hata uwe nao Mia la muhimu kuomba sana upate aliye sahihi kiasi ambacho unaweza kuvumilia.
Jinsia ina badilika kulingana na mada 🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ole wako nikukute sehemu unajibebisha asa. Ole wako!
Mkuu kuna kitu kinaitwa bahati unaweza ukawa na fusoo la wapenzi kwa ajili ya kuchagua nani sahihi na wote ukatoka hamna kitu,.hahahahahahaahhaaaa..duh watano wote wawe vimeo,hapo kuna shida basi.
ila mahusiano ya sasa ni mtihani sana sana kuliko hata necta ya form four.
mimi mwenyewe hapa nilijikuta naingia uhusiano na mdada mmoja ambaye alikuwa na mchumba wake na akaniambia alitolewa mahali,ila hakumpenda huyo mkaka,basi mapenzi yote akayahamishia kwangu,nikajiona nimepata. sasa wakati nasema nitulie nimtengeneze vizuri,mara paaaa nikagundua tena anatoka na mkaka mwingine ambaye anasema ni mzazi mwenzake maana ana mtoto mmoja,dah roho ikaumia sana. huku tena kumbe yule mchumba ambaye anajulikana kwao mipango inaendelea...
sasa basi,tumejikuta tuko wanaume watatu,ila mimi ndiyo najua tuko watatu,ila wale wawili inawezekana wanajijua wako wenyewe au wawili tu.
sasa mdada alipokuwa anaishi kodi imeisha na anahama.anakohamia ndiyo anataka niwe naye huru,sasa nazidi kutowaelewa wadada wa siku hizi...
mapenzi ya sasa ni usanii sana...so,hata mimi napitia changamoto kama hizo mkuu
Umegundua na bado upo naye,anataka kuhamia karibu na kwako ili awe huru!wakati huo huo ameshatolewa mahari,be careful aisee,kinachoweza kutokea hapo ni mauti,direct or indirect!!!hahahahahahaahhaaaa..duh watano wote wawe vimeo,hapo kuna shida basi.
ila mahusiano ya sasa ni mtihani sana sana kuliko hata necta ya form four.
mimi mwenyewe hapa nilijikuta naingia uhusiano na mdada mmoja ambaye alikuwa na mchumba wake na akaniambia alitolewa mahali,ila hakumpenda huyo mkaka,basi mapenzi yote akayahamishia kwangu,nikajiona nimepata. sasa wakati nasema nitulie nimtengeneze vizuri,mara paaaa nikagundua tena anatoka na mkaka mwingine ambaye anasema ni mzazi mwenzake maana ana mtoto mmoja,dah roho ikaumia sana. huku tena kumbe yule mchumba ambaye anajulikana kwao mipango inaendelea...
sasa basi,tumejikuta tuko wanaume watatu,ila mimi ndiyo najua tuko watatu,ila wale wawili inawezekana wanajijua wako wenyewe au wawili tu.
sasa mdada alipokuwa anaishi kodi imeisha na anahama.anakohamia ndiyo anataka niwe naye huru,sasa nazidi kutowaelewa wadada wa siku hizi...
mapenzi ya sasa ni usanii sana...so,hata mimi napitia changamoto kama hizo mkuu
ni kweli boss,huwa hizi vitu zinatokea sana,na ndiyo maana unakuta mtu anakwambia dah sina bahati na mapenzi....Mkuu kuna kitu kinaitwa bahati unaweza ukawa na fusoo la wapenzi kwa ajili ya kuchagua nani sahihi na wote ukatoka hamna kitu,.
The wary transgressor james hadley chase..."A man who keeps a woman before money invites disaster "Tarrchi the pickpocket to David chissolm(the wary of transgressors names hardley chase)
dont worry man,mi ni master planner wa hizi ishu,i know how to play well pasipo kuacha hatia wala ushahidi hasa jambo nikiliamua. hata hiyo kujua huyo mzazi mwenzake anatoka naye nilichukua two days nights nikaingia kazini,kisha nikampa mdada report yake ikiwa clear,akabaki kushangaa nimemuelezea kila hatua ...mwenyewe kanyoosha mikono. mission under progress mkuu....Umegundua na bado upo naye,anataka kuhamia karibu na kwako ili awe huru!wakati huo huo ameshatolewa mahari,be careful aisee,kinachoweza kutokea hapo ni mauti,direct or indirect!!!
Tena kwa upewa hereni za jero tu anatoa mzigo kwa chinga muuza urembo.Mkuu hawa viumbe we acha tu. Unaweza kuwa na hogo lako lakin ukashangaa halitaki anahtaji kibamia. Hawaeleweki hawa (baadhi yao) unaweza kuta jamaa anamkwanja wa kutosha tu lakn unashangaa anachapiwa hata na muuza urembo tu hiyo ipo na watu wanaushahidi.
Kila la kheri,if you do that willingly,remember what goes around comes around!!!dont worry man,mi ni master planner wa hizi ishu,i know how to play well pasipo kuacha hatia wala ushahidi hasa jambo nikiliamua. hata hiyo kujua huyo mzazi mwenzake anatoka naye nilichukua two days nights nikaingia kazini,kisha nikampa mdada report yake ikiwa clear,akabaki kushangaa nimemuelezea kila hatua ...mwenyewe kanyoosha mikono. mission under progress mkuu....
Sinywi pombe mkuu,wala siwezi kunywa kwa sababu ya upuuzi wa MTU mmoja!Pole sana mkuu nachokushauri hebu tulia kwanza tena usithubutu kunywa pombe kabisa.pili usithubutu kushabikia CHADEMA wala CCM ndo utapotea zaidi
Bado uko nae mwanamke ambaye katolewa mahari na wanaume wawili tofauti huyo mwanamke upo kwa ajili ya kumchezea tu hauko serious nae.dont worry man,mi ni master planner wa hizi ishu,i know how to play well pasipo kuacha hatia wala ushahidi hasa jambo nikiliamua. hata hiyo kujua huyo mzazi mwenzake anatoka naye nilichukua two days nights nikaingia kazini,kisha nikampa mdada report yake ikiwa clear,akabaki kushangaa nimemuelezea kila hatua ...mwenyewe kanyoosha mikono. mission under progress mkuu....
Kama nimemuelewa ni kwamba mmoja kati ya hao wanaume wa mwanamke wake ni mzazi mwenzake,halafu jamaa wa pili amemlipia mahari,yeye ni wa tatu na anaendelea kutoka na huyo mdada mdanganyifu,sijui nimeelewa!!!????Bado uko nae mwanamke ambaye katolewa mahari na wanaume wawili tofauti huyo mwanamke upo kwa ajili ya kumchezea tu hauko serious nae.