Nimevunja uchumba rasmi, sitaki tena kuoa!

Nimevunja uchumba rasmi, sitaki tena kuoa!

Mkuu..... Mi nkupe pole sana .....
Mitihani kama iyo ipo.. Mungu akupe nguvu akupunguzie maumivu uyapatayo mwanangu.

Maana kurudi nyuma ni kazi miaka 3 sio mchezo ni safari ndefu penginepo ulishamtambulisha kwenu.... Kwenda nae mbele ni ngumu zaidi, uyo ni chizi ulimkea na kumweshimu utu wake ila kachagua sehem ata faida yoyote apati chochote zaidi ya kujiaribu, achana nalo tu dubwasha la hivyo trust me mshukuru Mungu umegundua mapema angekusbua sana badae... Wanawake wapo kibao wanaojielewa japo uwepata aliekamilika....

Asikwambie mtu mchumba unae taka kuoa mchunguze sana tena atua za mwshon mcheki sana maana ukiteleza umepotea.
 
Ukiwa na mwanamke alieanza kutumoa tigo we hata uwe na mchi/mtwangio at a upige usiku kucha na hata ukipiga wiki kama yule aliyefia baada ya kupiga 7 days of the week bado utaendelea kugongewa tu!!!!Lakini kama amefumuliwa kwa mwaka ni lazima tigo itakuwa na userious kidogo sasa sijajua wewe unapigaje ndani ya huu mwaka hata kumgeuza geuza hakuna????Ungejaribu mbuzi kagoma kwenda na kuna mwanga lazima ungegundua kitu.
Yote kwa yote thanks kwa zawadi/chai ya xmass and boxing day 2018.
 
Aisee..pole Sanaa mkuu ingekuwa hajafumuliwa marinda ningekushauri njia ya kupita ila kwa hatua hii ya kuliwa tigo mwache atangulie tu kutuandalia makao hakuna namnaa[emoji26]
Ahsante sana!
Hii ndiyo dunia!
 
Mimi ni kijana umri wangu ni miaka 32,ni msomaji mzuri wa jukwaa hili,japo sio mchangiaji sana!

Nimeamua kuja na ID mpya ili kujieleza kwa uhuru zaidi!
Nimekuwa kwenye mahusiano kwa miaka 3 sasa,na tulikubaliana na mpenzi wangu kwamba mwezi February, nipeleke mahari,(I was very comfortable)

Kilichotokea jana,kimenifanya nikate tamaa kabisa ya kufikiria kuoa,labda nipate muda wa kupumzika sana,na sijui nipate mwanamke wa namna gani!!?

To make a story short,ni kwamba Jana tulikubaliana kufanya tathmini ya uelekeo wa uchumba wetu,tulitoka na kwenda mahali tulivu nje kidogo ya jiji,tulifanya hivyo tukiwa na amani tele!

Ilipofika majira ya saa kumi hivi nikaona kama anakosa utulivu,kila mara anashika simu na kuonekana very busy charting, nikamwambia we have to concentrate on what brought us here na sio unakuwa busy na simu kiasi hicho!

Alionekana kunielewa lakini kwa jicho la kisaikolojia niliona bado hayupo normal,nikaamua kuchukua simu zote na kuziweka mezani,karibu na mimi,akakosa amani kabisa!!!
Mara ikaingia sms, "Baby sasa mbona haujanitumia ile pesa" (niliisoma kupitia WhatsApp notification),baada ya kuona hiyo msg moyo ulinilipuka,nikaamua kufingua SMS hiyo ili nijue kinachoendelea!

Nilipofungua SMS nikabaini kwamba anatiwa na dereva boda boda,kilichoniuma zaidi ni kwamba natafuta pesa kwa jasho sana,ili kuiandaa kesho yetu,yeye anatoa pesa kumpa huyo boda boda,haki ya Mungu maumivu niliyopata hayaelezeki!

Mchumba wangu amefikia hatua ya kufanywa kinyume na maumbile,nimeshangazwa kwa viwango vya juu sana,nilijitahidi sana kujizuia ili nijiridhishe kikamilifu juu ya mahusiano yao!

Nilikuwa mpole machoni,lakini niliyekasirika sana moyoni,nikamtaka aniambie ukweli,ili ikiwezekana nimsamehe!

La haula!!!ananiambia ni kweli amekuwa naye kwenye mahusiano kwa mwaka sasa,na jamaa ndo amemfundisha kufanya mapenzi kinyume na maumbile,halafu anaomba nimsamehe!!!

Nilipoyasikia maneno hayo mwili mzima ulipigwa ganzi,hasira zilikuwa na nguvu kuliko uwezo wangu wa kuzidhibiti!
Ilinilazimu kuondoka mazingira kwa haraka sana ili kuepusha madhara ambayo yawezekana ningeyafanya!

Leo amenipigia simu,sikupokea,ameniandikia ujumbe kwamba haoni tena sababu yakuishi,bora afe,nimemjibu kwa kifupi tu,kwamba "kufa"

Baada ya hapo,nikaa na kutafakari sana,kwamba kama ningekuwa na wapenzi angalau watatu,hata nisingepata maumivu makali kiasi hiki,na pengine ningeanza mchakato na mwanamke mwingine,sasa uaminifu wangu unaniponza!!!

Nakutakia kila la heri M.
NITAANZA TU UPYA!MUNGU MKUBWA NITAMPATA ATAKAYENIHESHIMU KABLA NA BAADA YA NDOA!
Kizazi chenu hiki cha utandawazi ni balaa sana, wasichana hawana aibu na miili yao tena, wanachoona ni kugawa kila kiungo kichezewe.
Pole kjana vumilia ila kama unataka kuoa uwe makini
 
Mkuu..... Mi nkupe pole sana .....
Mitihani kama iyo ipo.. Mungu akupe nguvu akupunguzie maumivu uyapatayo mwanangu.

Maana kurudi nyuma ni kazi miaka 3 sio mchezo ni safari ndefu penginepo ulishamtambulisha kwenu.... Kwenda nae mbele ni ngumu zaidi, uyo ni chizi ulimkea na kumweshimu utu wake ila kachagua sehem ata faida yoyote apati chochote zaidi ya kujiaribu, achana nalo tu dubwasha la hivyo trust me mshukuru Mungu umegundua mapema angekusbua sana badae... Wanawake wapo kibao wanaojielewa japo uwepata aliekamilika....

Asikwambie mtu mchumba unae taka kuoa mchunguze sana tena atua za mwshon mcheki sana maana ukiteleza umepotea.
Ahsante ndugu,hapa ndipo mahali kwa sasa pananifanya nijisikie angalau ahueni,maana unaweza kujikuta umefanya tukio baya na kuishia jela!
 
Mkuu kwa mtazamo wangu, mtu asiyependa kukagua simu ya mwenzake ni kwasababu hataki na yake ikaguliwe na ni kwasababu ana mambo ya kuficha.Kama hauna jambo la kuficha, kushika simu ya mwenzio ni kawaida sana.Na ni bora nikague nione kama ana mambo ya pembeni kuliko kutokukagua nikaletewa gonjwa ndani.
Umenena vemà!!!
 
Back
Top Bottom