Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 3,833
- 2,790
Yes this sounds it was true but always the truth before the oppressors is nonsense. But yet one day YES!!!!
Ule utabiri wake alioutabiri kwamba kuna nchi moja ndani ya East Africa ambayo mwaka huu itakuwa na uchaguzi mkuu wake,Opposition watashinda lkn haitatawala!!
Inavyoonekana CHADEMA ilishinda kwa mujibu wa huo utabiri wa Mch. Joshua.
Wadau mnasemaje kuhusu hili?
Ule utabiri wake alioutabiri kwamba kuna nchi moja ndani ya East Africa ambayo mwaka huu itakuwa na uchaguzi mkuu wake,Opposition watashinda lkn haitatawala!!
Inavyoonekana CHADEMA ilishinda kwa mujibu wa huo utabiri wa Mch. Joshua.
Wadau mnasemaje kuhusu hili?