Mfundishe weweHujui kutongoza na pengine hujui maana ya kutongoza ndio maana unashindwa. JIFUNZE
Nenda playstore download app ya badoo. Utapata mademu wengi tu mi huwa hata sihangaiki na demu mtaaniMimi in kijana Mwenge umri 24 nipo chuo mwaka wa tatu ,toka nimetongoza wasichana sijawai pata kabisa,ingawa ni kijana mzuri,mrefu Nina mwili kidogo black,ila kila nikifuata msichana lazima anitolee nje,hela huwa sijui kuonga,wakuu naombeni ushauri nifanyeje ili na mimi nifurahie raha ya kuwa katika dunia hii....karubuni kwa ushauri matusi sio poa
Na mfukoni una swagga pia?Swaga zipo za kutosha kama ni vigezo vyote vy a waschana kwa wanaume ninavyo vyote,yaan HB,black CIO San mrefu na mwili upo kidogo yaan mpk nahc Nina mkosi
Daaah!kwel kabisaJombaa usifikiri utatongoza siku moja na siku hiyo hyo ukubaliwe jifunze kuwa mvumilivu na sio ukikataliwa na mmoja unarukia mwingine ndani ya mda mfupi. Huwa wanaambina hasa huko chuoni mwisho wa siku wanakuona kama play boy
Asante kwa pumba mkuuutakua unanuka mdomo
Kwa vitendo vipi mkuu!nitolee mfanoWapo waliokukubalia ila hukuwajua. Sio hapana zote ni hapana kwa wanawake. Halafu wanawake wanatongozeka kwa vitendo zaidi kuliko maneno.
Mkuu class nipo vizuri sn hata nkikokosa disc watanitumia SMS sana mkuuWe utakuwa kilaza darasan jaribu kufaulu mitihani utaona wanavyokufuata uwasaidie kwenye test ndo watakupa hadi tigo mpaka utawachoka. Hela huna basi hata akili huna?
Duuuh!kwel kabs mkuu,ninatabia iyo ila asqnte kwa ushauri uliotukukaUtakuwa unawahi sana kuwambia unachokitaka au unawambia ukweli mwingi.Tumia uwongo mwingi na ukweli kidogo sana.Kuwa makini na ugonjwa wa Ukimwi
Asante mkuu kwq pumba ,nahisi Michele utatoa wiki ijayoMm kama mwanasheria mkuu wa CHAPUTA siko tayar kupoteza mwanachama wang mtiifu,hivyo nawasih warimbwende waemdelee kumkataa huyo kijana.
Nyege zinanisumbua sanaSoma ,tafuta hela,achana na hayo ya wanawake
Kama unanyege si utafute kahaba upige kwani kuna ulazima kuwa na demu wa chuo wanapenda wanaume wengi magari tafuta demu mbovu yeyote mtaani atakayekupenda uwe unajipoozea au tafuta dawa za masai utawapata tuNyege zinanisumbua sana
Smart IPO tena grand prime h plus....nashdwq kujua kwann wananitolea nje
Asante mkuu ,ila nataka. Nipate mschana anaeendana na mm coz mm mwenywe n matawi ya juuuKama unanyege si utafute kahaba upige kwani kuna ulazima kuwa na demu wa chuo wanapenda wanaume wengi magari tafuta demu mbovu yeyote mtaani atakayekupenda uwe unajipoozea au tafuta dawa za masai utawapata tu