Nimetongoza mabinti wengi sana lakini walinikataa

Nimetongoza mabinti wengi sana lakini walinikataa

rev geo pet

Senior Member
Joined
Jul 25, 2016
Posts
115
Reaction score
63
Mimi in kijana Mwenge umri 24 nipo chuo mwaka wa tatu ,toka nimetongoza wasichana sijawai pata kabisa,ingawa ni kijana mzuri,mrefu Nina mwili kidogo black,ila kila nikifuata msichana lazima anitolee nje,hela huwa sijui kuonga,wakuu naombeni ushauri nifanyeje ili na mimi nifurahie raha ya kuwa katika dunia hii....karubuni kwa ushauri matusi sio poa
 
Aidha muoga, bahili, unaiona, au unajini limekupenda hasa kama ymewahi potelewa na nguo za ndani chupi au boxer.
 
Siku zote msichana hapendi kuonekana cheap ndo mana hatakama anakupenda hatakwambia (asilimia kubwa) ukimtongoza Mara ya kwanza lazima atakataa lakini yawezekana anakutega kama utakata tamaa.

Afu kwenye kutongoza usiweke u-serious.

Kingine mwanamke hatongozwi siku ya kwanza unapomuona anakuona kua unatamaa, jenga mazoea taratibu

YANGU NI HAYO SUBIRI NA MAWAZO YA WENGINE
 
Siku zote msichana hapendi kuonekana cheap ndo mana hatakama anakupenda hatakwambia (asilimia kubwa) ukimtongoza Mara ya kwanza lazima atakataa lakini yawezekana anakutega kama utakata tamaa.

Afu kwenye kutongoza usiweke u-serious.

Kingine mwanamke hatongozwi siku ya kwanza unapomuona anakuona kua unatamaa, jenga mazoea taratibu

YANGU NI HAYO SUBIRI NA MAWAZO YA WENGINE
Fungua Darasa, changisha hela kama yule jamaa alie changisha upige hela.
 
Back
Top Bottom