Nimetongoza mabinti wengi sana lakini walinikataa

Nimetongoza mabinti wengi sana lakini walinikataa

Siku zote msichana hapendi kuonekana cheap ndo mana hatakama anakupenda hatakwambia (asilimia kubwa) ukimtongoza Mara ya kwanza lazima atakataa lakini yawezekana anakutega kama utakata tamaa.

Afu kwenye kutongoza usiweke u-serious.

Kingine mwanamke hatongozwi siku ya kwanza unapomuona anakuona kua unatamaa, jenga mazoea taratibu

YANGU NI HAYO SUBIRI NA MAWAZO YA WENGINE
Daaah!kat ya watu waliotoa coment I nimeipenda sana....asante ntafanyia kazi huu ushauri ni mzuri sana
 
Jaribu kutafuta wanawake wa level za chini mfano hao wanachuo jifanye kama siyo level zako nenda mtaani karibu na chuo tafuta mwanamke najua utakubaliwa tu. Then ukishawazoea wale wa level za chini badae utapata ujuzi na confidence za kuwapata hao wanachuo otherwise lazma wakupige chini tu
 
Kuhonga hujui utakuta na sura nzuri wala swagga huna halafu unataka ukubaliwe. Embu pambana na hali yako kijana.
Swaga zipo za kutosha kama ni vigezo vyote vy a waschana kwa wanaume ninavyo vyote,yaan HB,black CIO San mrefu na mwili upo kidogo yaan mpk nahc Nina mkosi
 
Kuhonga hujui utakuta na sura nzuri wala swagga huna halafu unataka ukubaliwe. Embu pambana na hali yako kijana.
Swaga zipo za kutosha kama ni vigezo vyote vy a waschana kwa wanaume ninavyo vyote,yaan HB,black CIO San mrefu na mwili upo kidogo yaan mpk nahc Nina mkosi
 
Mimi in kijana Mwenge umri 24 nipo chuo mwaka wa tatu ,toka nimetongoza wasichana sijawai pata kabisa,ingawa ni kijana mzuri,mrefu Nina mwili kidogo black,ila kila nikifuata msichana lazima anitolee nje,hela huwa sijui kuonga,wakuu naombeni ushauri nifanyeje ili na mimi nifurahie raha ya kuwa katika dunia hii....karubuni kwa ushauri matusi sio poa

soma ,fata hilo mmoja la kusoma mungu ajalie upate kazi -utafute mke uoe uanze maisha na familia yako-mambo ayo ya tongoza tongoza yanepitwa na mdaa-cc kaka zako wana uliza nafasi wenyewe ila kwa kua tuna waona wa babaifu hatuna mpango nao
 
Mimi in kijana Mwenge umri 24 nipo chuo mwaka wa tatu ,toka nimetongoza wasichana sijawai pata kabisa,ingawa ni kijana mzuri,mrefu Nina mwili kidogo black,ila kila nikifuata msichana lazima anitolee nje,hela huwa sijui kuonga,wakuu naombeni ushauri nifanyeje ili na mimi nifurahie raha ya kuwa katika dunia hii....karubuni kwa ushauri matusi sio poa

Hapo kwenye bluu ndipo mkeka ulipochanika, subiri muujiza
 
Hela za ndalichako CPO za kutosha tu...ila kuhonga sjui....na kwel mm n HB man ukiniona huwezi hamn
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unasoma chuo lakini bado una akili za kitoto sana. Na wala mm siamini kama uko chuo.
 
Back
Top Bottom