- Thread starter
- #101
Aisee!Kata tu akuleleke kwenye baraza la ardhi yaongelewe na labda ulipishwe faini ugomvi uishe. Mie jirani yangu mkorofi sana, nlimfanyia hivyo kwa miti aliyootesa bila ridhaa yangu kwenye mpaka!!
Aisee!Kata tu akuleleke kwenye baraza la ardhi yaongelewe na labda ulipishwe faini ugomvi uishe. Mie jirani yangu mkorofi sana, nlimfanyia hivyo kwa miti aliyootesa bila ridhaa yangu kwenye mpaka!!
Wanamuogopa wote hadi Mwenyekiti wa mtaa naye anamuogopa!Ita mjumbe aikate chini ya ulinzi
Na we muogope tu...Wanamuogopa wote hadi Mwenyekiti wa mtaa naye anamuogopa!
Fanya hivi kwa kuwa wewe unataka ikatwe miti minne na yeye kakubali kukata mmoja mkubalie akate huo mmoja, then tafuta jamaa yako mnayeelewana mpe pesa Anunue hiyo miti mitatu iliyobaki, kwa bei ya mikaratusi yaweza kuwa elfu 20 @.Ahsante sana Wakili msomi Petro E. Mselewa. nashukuru
Unaweza kuikausha hiyo miti pia kimya kimya... Akashangaa inakauka tuuHiyo ya kukata miti siwezi ni mirefu sana inatakiwa kukatwa kwa ufundi ili isiangukie nyumba. Kuhusu kumtandika makofi sina nguvu za kumpiga ni mwanamme. hahahahah mimi ni mwanamke. Kumlaza selo ni ngumu ni POLISI
Na mwachia MunguNa we muogope tu...
Ni yale ma mikaratusi yapo mpakani kabisa yanainamia nyumba, na hata upepo ukiwa mkali yanaonesha kuna siku yatakatika na kuangikia nyumba yangu
mmmmh! sio miti yanguMkuu umekalia utajiri sema hujijui, mikaratusi? Tuite wababe wa mjini uone
Ahsante kwa ushauriFanya hivi kwa kuwa wewe unataka ikatwe miti minne na yeye kakubali kukata mmoja mkubalie akate huo mmoja, then tafuta jamaa yako mnayeelewana mpe pesa Anunue hiyo miti mitatu iliyobaki, kwa bei ya mikaratusi yaweza kuwa elfu 20 @.
yaaaani!!!noqma sana
Ni kweli alishaniambia ni panunue nikamwambia mie sipahitaji.kama uko njema wizara ya mkwanja kinunue ru icho kiwanja, jamaa ana njaa na anatumia iyo sababu kijanja kukufikishia ujumbe kwamba kinunue ye hana mpango/uwezo wa kujenga.
Nawewe ninaniHiyo ya kukata miti siwezi ni mirefu sana inatakiwa kukatwa kwa ufundi ili isiangukie nyumba. Kuhusu kumtandika makofi sina nguvu za kumpiga ni mwanamme. hahahahah mimi ni mwanamke. Kumlaza selo ni ngumu ni POLISI
Mama LisheNawewe ninani
HahahahahhahaSubiri kidogo nitakujibu
Nataka nije Kula chakul uko sehem ganMama Lishe