Ibrahim A.S
Member
- Sep 13, 2015
- 6
- 2
Habari wanandugu,
Mimi ni mkazi wa gongo la mboto (mongola ndege), maisha yalikuwa safii tu bila usumbufu wowote ila sasa kuna kiwanja cha jirani hapa wamefungua kanisa.
Ni ibada sawa hakuna pingamizi kwenye hilo, ila sidhani kama alifuata taratibu zozote za kimakazi katika kuanzisha kanisa hilo, maana kwa majirani wote limekuwa ni kero.
Imefikia hatua katika kupanua kanisa lake anaingia hadi kwenye mipaka yangu na kufanya baadhi ya uharibifu kama kukata miti yangu, kugongea bati lake juu ya bati langu na mwengine mengine bila kuongea na mimi chochote.
Najaribu kuuliza na kuomba msaada hatua gani nifanye kuondoa huu usumbufu hapa maana uvumilivu na ustaarabu umeshanishinda kwa kweli.
Shukrani.
Mimi ni mkazi wa gongo la mboto (mongola ndege), maisha yalikuwa safii tu bila usumbufu wowote ila sasa kuna kiwanja cha jirani hapa wamefungua kanisa.
Ni ibada sawa hakuna pingamizi kwenye hilo, ila sidhani kama alifuata taratibu zozote za kimakazi katika kuanzisha kanisa hilo, maana kwa majirani wote limekuwa ni kero.
Imefikia hatua katika kupanua kanisa lake anaingia hadi kwenye mipaka yangu na kufanya baadhi ya uharibifu kama kukata miti yangu, kugongea bati lake juu ya bati langu na mwengine mengine bila kuongea na mimi chochote.
Najaribu kuuliza na kuomba msaada hatua gani nifanye kuondoa huu usumbufu hapa maana uvumilivu na ustaarabu umeshanishinda kwa kweli.
Shukrani.