Yofav
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 3,956
- 6,887
Habari wakuu,
As the head above explains, Imekuwa kama inataka kuwa kawaida tu sasa kila nishindapo nyumbani kuna mke wa jirani yangu ikiwa atapika mchana na kujua kuwa nipo basi ni lazima atanigongea mlango baada ya chakula kuiva.
Me ni bachela ndiyo na huwa sipendelei sana kupika kutokana uvivu na ikitokea nimepika basi nimekaanga mayai au kuchemsha so, mara nyingi nikiwa home nashinda zangu ndani na huwa naorder vyakula restaurant kikifika napigiwa simu tu natoka nachukua na kurudi ndani kula.
Tabia hii ya kupewa chakula na jirani yangu imeanza kunikera kwani huwa nafikiria kwamba kila siku ananipa yeye tu alafu mimi sipikagi wala hivyo sitiweza kumpatia na yeye wakati mwingi kama fidia sasa si nitakuwa kama namnyonya?
Natamani niwe nakataa ila sina njia yenye busara maana kuna siku nilimuambia nimeahakula akaniambia weka tu utakula hata baadae, Je.. nitumie njia gani ya kuwa ninakataa chakula chake bila kumfanya ajisikie vibaya?
As the head above explains, Imekuwa kama inataka kuwa kawaida tu sasa kila nishindapo nyumbani kuna mke wa jirani yangu ikiwa atapika mchana na kujua kuwa nipo basi ni lazima atanigongea mlango baada ya chakula kuiva.
Me ni bachela ndiyo na huwa sipendelei sana kupika kutokana uvivu na ikitokea nimepika basi nimekaanga mayai au kuchemsha so, mara nyingi nikiwa home nashinda zangu ndani na huwa naorder vyakula restaurant kikifika napigiwa simu tu natoka nachukua na kurudi ndani kula.
Tabia hii ya kupewa chakula na jirani yangu imeanza kunikera kwani huwa nafikiria kwamba kila siku ananipa yeye tu alafu mimi sipikagi wala hivyo sitiweza kumpatia na yeye wakati mwingi kama fidia sasa si nitakuwa kama namnyonya?
Natamani niwe nakataa ila sina njia yenye busara maana kuna siku nilimuambia nimeahakula akaniambia weka tu utakula hata baadae, Je.. nitumie njia gani ya kuwa ninakataa chakula chake bila kumfanya ajisikie vibaya?