Okinawan
JF-Expert Member
- Apr 10, 2018
- 253
- 259
Wewe kata hayo matawi tu yanayokwaruza nyumba na kama kuna mizizi iliyoelekea kwenye nyumba yako tafuta vijana waikate hiyo mizizi na mti utaendelea kukua tu bila shida yeyote ila hautaelekea tena kwako.Mpende jirani yako kama unavyojipenda,tumia busara tu ni ishu ndogo sana hiyo.