Nimesoma Addo mwenye duka la dawa Mtwara

Nimesoma Addo mwenye duka la dawa Mtwara

Dogo ana ka chet ka addo anatamba mtaani hivi Je angekuwa na bachelor ya pharmaceutical s ndo ungeita press conference [emoji28][emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
bachelor si afadhali,je angekua na cheti cha nacte cha drug dispenser kwa ile course ya mwaka mmoja si angejiona mfamasia kabisa
 
Kwaiyo sipo concetrated sana na iyo ajir walaaaa msiumize vichwa vyenu kujibu jibu sina haja na iyo ajira kutokana na majibu yenu ya ovyo ovyo waajil gan majibu ya ovyo si ntafanya kazi msinilipe kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mwehu KBS, utadhani ni wa kwanza kusoma chuo. Vyuo vyenyewe uchwara vya siku hizi hapo huenda unasoma kicertificate ushajiona msomi, wengi wenye mihemko km yko huwa ni vijinga na kupt chuo umpt kwa mbinde. Maliza chuo uje kitaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unajion huna duka la dawa kaa tu kimya wemwenyew mchokano tu ka mimi ninayetafut ajir ungekuw boss si ungeajir watu! Conc riquid we! Unalew kupitiliz ndo man ujielew

Sent using Jamii Forums mobile app
Usijali mambo yakikaa sawa nitakutafuta, jitahidi usajiliwe na baraza la Famasi.
 
Ukifuatilia kwa makini majibu ya mleta mada utagundua ana katatizo flani hivi ka nyodo !
Yaani inawezekana alizaliwa gesti au stand
Au wajanja walishakatafuna nyuma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom