mangyi
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 723
- 879
Nikiamua nachange tena hamn anayenikataza hapajamaa kaamua kuchange na id kabisa kweli hali tata
Umeshasema watu sio wewe chuoni wanatengeneza dawa tangu lini kuna kiwanda huko kama sio mnasoma theory tu aliyekuambia baadh ya dawa azitengenezw Tanzania nani wagonjwa wenyew hata hawaziamin dawa za Tanzania watakuambia mi nataka ya kenya au china huko! Unawaza! Limekukoa ilo ndo mana umejibu na hili likikukoa nitakuona soon hapa ukileta porojo zako ety niambie mechanism ya dawa uliyoiyandik wemwenyew unakaririshwa hukoUnaongea vitu shit na huvijui sasa huyo Dr wako yuko shallow sana interms kwenye pharmacology unaelewa sjui yaan hyo Dr ako ndo huwa anakuja pharmacy department ya hospital husika kupata ushaur wa dawa husika hawajui dawa
Wao wame specialize kwenye diagnosis sana kama vitu hujui kaa kimya tunachoshana mda wa kulala na furaha za man u kufungwa.
Ety dr ajui dawa na we bila dr ungejua mgonjwa umpe dawa gan ili hapone au ndo unajua mechanism tu mfamasia mfamasia mfamasia mwenyew wa diploma je ungekuwa wa nasters kasimame ofisini hukoUmeshasema watu sio wewe chuoni wanatengeneza dawa tangu lini kuna kiwanda huko kama sio mnasoma theory tu aliyekuambia baadh ya dawa azitengenezw Tanzania nani wagonjwa wenyew hata hawaziamin dawa za Tanzania watakuambia mi nataka ya kenya au china huko! Unawaza! Limekukoa ilo ndo mana umejibu na hili likikukoa nitakuona soon hapa ukileta porojo zako ety niambie mechanism ya dawa uliyoiyandik wemwenyew unakaririshwa huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Masters ungesumbua wewe na iyo mechanism unayoijuaEty dr ajui dawa na we bila dr ungejua mgonjwa umpe dawa gan ili hapone au ndo unajua mechanism tu mfamasia mfamasia mfamasia mwenyew wa diploma je ungekuwa wa nasters kasimame ofisini huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Sibishan na mfamasia wa diploma mi kama ume specialize iyo pharmacology endelea kutuma utumbo wako hapa
Mheshim dr wewe ndo mana ata range za mshahar zipo tofaut we unaweza kujifananisha na daktar iyo mechanism ata ukiingia youtube unaelekezwa lakini kuja kugundua dignosis ya mgonjwa utagoogle! Ha ha ha ha! UnachekeshaSibishan na mfamasia wa diploma mi kama ume specialize iyo pharmacology endelea kutuma utumbo wako hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Iyo mechanism naweza nika google nikakujib hapa na wemwenyew ukanikubar! Iv unazan kumfanyia mtu operation mchezo kila kinatolew alafu kina pangwa upya na mtu anaamka tena binafsi namweshim sana drMheshim dr wewe ndo mana ata range za mshahar zipo tofaut we unaweza kujifananisha na daktar iyo mechanism ata ukiingia youtube unaelekezwa lakini kuja kugundua dignosis ya mgonjwa utagoogle! Ha ha ha ha! Unachekesha
Sent using Jamii Forums mobile app
Iyo mechanism naweza nika google nikakujib hapa na wemwenyew ukanikubar! Iv unazan kumfanyia mtu operation mchezo kila kitu kinatolew alafu kina pangwa upya na mtu anaamka tena binafsi namweshim sana dr
Sent using Jamii Forums mobile app
Na nurse namweshim ila mfamasia wa mwisho hukoSent using Jamii Forums mobile app
poa katuni
Daah😂😂😂😂unajikuta maskini jeuri eeeh?? Huna shida ungeleta bango lako humu??acha bangi dogo....😝😝
Umeshasema watu sio wewe chuoni wanatengeneza dawa tangu lini kuna kiwanda huko kama sio mnasoma theory tu aliyekuambia baadh ya dawa azitengenezw Tanzania nani wagonjwa wenyew hata hawaziamin dawa za Tanzania watakuambia mi nataka ya kenya au china huko! Unawaza! Limekukoa ilo ndo mana umejibu na hili likikukoa nitakuona soon hapa ukileta porojo zako ety niambie mechanism ya dawa uliyoiyandik wemwenyew unakaririshwa huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Ety dr ajui dawa na we bila dr ungejua mgonjwa umpe dawa gan ili hapone au ndo unajua mechanism tu mfamasia mfamasia mfamasia mwenyew wa diploma je ungekuwa wa nasters kasimame ofisini huko
Sent using Jamii Forums mobile app
Sibishan na mfamasia wa diploma mi kama ume specialize iyo pharmacology endelea kutuma utumbo wako hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mheshim dr wewe ndo mana ata range za mshahar zipo tofaut we unaweza kujifananisha na daktar iyo mechanism ata ukiingia youtube unaelekezwa lakini kuja kugundua dignosis ya mgonjwa utagoogle! Ha ha ha ha! Unachekesha
Sent using Jamii Forums mobile app
Una maneno meng ka mwanamk nikajua we kidumeMapepe Umepanick Relax...nakupa sasa nenda community pharmacies uone watu wanasolve clinical cases bila prescription
Niko online lete mazungumzo.