Nimesikitika sana kuona CHADEMA wanalishambulia Bunge kwa kuisimamia Serikali

happyxxx

JF-Expert Member
Nov 14, 2020
568
1,847
Siku zote kilio chetu ni kuona Bunge linaisimamia vyema Serikali.

Lakini inasikitisha sana chama cha upinzani kinapotoa baraka Serikali isiweze kuhojiwa na bunge.

CHADEMA kimedhihirisha ni chama cha ujanja ujanja kisichosimamia misingi ya demokrasia.

Kitendo cha viongozi na mashabiki wa CHADEMA kumtukana na kumshambulia Spika wa Bunge kwa kuwa kahoji mamlaka ya Rais juu ya mambo muhimu ya nchi kinasikitisha sana na kinaonyesha bado tuna safari ndefu ya kupata chama makini cha upinzani.

Ndio maana wananchi wamekata tamaa na wamevipotezea vyama vya upinzani kwa sababu ni vyama vya kusaka vyeo na fursa.

Msigwa, Lema, John Mrema wamekivua nguo chama cha CHADEMA.
 
Leo ndo mnaona umuhimu wa chadema ee!! Mlipowadhulumu kura mlikuwa akiri mziweka mfukoni? Watu waliteka na kuwanynyasa chadema wanaporudisha form. Kumrudisha form tu ilikuwa vita mpaka akina Catherine Ruge wakavunjwa miguu na kubakwa na polisi lakini JPM akaona polisi wanachofanya ni sawasawa tu.

Umeshawahi ona wapi katika nchi za demokrasia ya vyama vingi eti wabunge zaidi ya 20 wanapita bila kupingwa?

Angalau jamaa amekufa tumefurahi Sana Mambo mengine tutajipanga taratibu. Tumeibiwa majimbo kibao Leo ndio unaona umuhimu wa chadema.
 
Kwa hiyo Chadema hamtaki bunge liisimamie serikali?

Mnajua kuwa wananchi wamewakataa sababu ya tabia zenu hizi za kwenda na upepo?
Nani atukatae Kama mnajua wanatukataa kwa Nini mlitumia maguvu ya kuwateka na form zao na wengine kuwavunja miguu. Kwa nini vyombo vya habari vyote mliwakataza wasiwaoneshe mikutano yao. Mpaka Mwingira kasema a man hakuwa na platform ya vyombo vya habari lakini walikuwa wanamfata tu bila kujali Kama wangeuuawa.
 
Siku zote kilio chetu ni kuona bunge linaisimamia vyema serikali.

Lakini inasikitisha sana chama cha upinzani kinapotoa baraka serikali isiweze kuhojiwa na bunge.

Chadema kimedhiirisha ni chama cha ujanja ujanja kisichosimamia misingi ya demokrasia.

Kitendo cha viongozi na mashabiki wa Chadema kumtukana na kumshambulia Spika wa Bunge kwa kuwa kahoji mamlaka ya Rais juu ya mambo muhimu ya nchi kinasikitisha sana na kinaonyesha bado tuna safari ndefu ya kupata chama makini cha upinzani.

Ndio maana wananchi wamekata tamaa na wamevipotezea vyama vya upinzani kwa sababu ni vyama vya kusaka vyeo na fursa.

Msigwa, Lema, John Mrema wamekivua nguo chama cha Chadema.
Una akili timamu ?
 
Nani atukatae Kama mnajua wanatulataa kwa Nini mlitumia maguvu ya kuwateka na form zao na wengine kuwavunja miguu. Kwa nini vyombo vya habari vyote mliwakataza wasiwaoneshe mikutano yao. Mpaka mwingira kasema a man hakuwa na platform ya vyombo vy ahabari lakini walikuwa wanamfata tu bila kujali Kama wangeuuawa.

Tulikuwa tunaongozwa na shetani muuji.
Chadema mmewaangusha sana wananchi wapenda demokrasia....mnatukana bunge kuisimamia serikali!!😭😭😭😭
 
Chadema mmewaangusha sana wananchi wapenda demokrasia....mnatukana bunge kuisimamia serikali!!😭😭😭😭
Bunge limeshawekwa mfukoni siku nyingi mno kinachofanywa Sasa hivi Ni chuki za ndugai dhidi ya mama hasa baada ya kuonesha uongozi wa kistarabu na kupenda watu wote wafurahie nchi yao kwa Uhuru kamili siyo like dubwana lilikuwa linatupeleka shimoni kwa kukuza ukabila na ubinafsi
 
Bunge limeshawekwa mfukoni siku nyingi mno kinachofanywa Sasa hivi Ni chuki za ndugai dhidi ya mama hasa baada ya kuonesha uongozi wa kistarabu na kupenda watu wote wafurahie nchi yao kwa Uhuru kamili siyo like dubwana lilikuwa linatupeleka shimoni kwa kukuza ukabila na ubinafsi
Chadema kimejionesha ni chama cha matukio na kipo kinaangalia upepo wa kula ruzuku.
 
Bunge limeshawekwa mfukoni siku nyingi mno kinachofanywa Sasa hivi Ni chuki za ndugai dhidi ya mama hasa baada ya kuonesha uongozi wa kistarabu na kupenda watu wote wafurahie nchi yao kwa Uhuru kamili siyo like dubwana lilikuwa linatupeleka shimoni kwa kukuza ukabila na ubinafsi
Huo uongozi wa kustaarabu wa SAMIA ni UPI???
 
Siyo CHADEMA pekee bali hata sisi wengine tunalaani huu 'USIMAMIZI WA KINAFIKI'.
Pili, kimsingi hii awamu ya 2020/2025 ina Bunge la Magufuli na siyo la wananchi.
 
Nilipowaona CHADEMA hawana maana baadabya Mbowe kukamatwa na swala la Katiba mpya likaishia pale pale.

Kumbe walitakiwa waji organise wafanye matukio kila Mkoa kila siku Ku support alichokuwa anapigania Mbowe kama chama, ungeona hiyo SAMIA kama angeshindwa kumwachia Mbowe.

Hivyo hivyo katika hili swala la Ndugai walitakiwa watumie mwanya huu kutengeneza moto, wenyewe wamekaa kama pipa
 
Back
Top Bottom