happyxxx
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 568
- 1,847
Siku zote kilio chetu ni kuona Bunge linaisimamia vyema Serikali.
Lakini inasikitisha sana chama cha upinzani kinapotoa baraka Serikali isiweze kuhojiwa na bunge.
CHADEMA kimedhihirisha ni chama cha ujanja ujanja kisichosimamia misingi ya demokrasia.
Kitendo cha viongozi na mashabiki wa CHADEMA kumtukana na kumshambulia Spika wa Bunge kwa kuwa kahoji mamlaka ya Rais juu ya mambo muhimu ya nchi kinasikitisha sana na kinaonyesha bado tuna safari ndefu ya kupata chama makini cha upinzani.
Ndio maana wananchi wamekata tamaa na wamevipotezea vyama vya upinzani kwa sababu ni vyama vya kusaka vyeo na fursa.
Msigwa, Lema, John Mrema wamekivua nguo chama cha CHADEMA.
Lakini inasikitisha sana chama cha upinzani kinapotoa baraka Serikali isiweze kuhojiwa na bunge.
CHADEMA kimedhihirisha ni chama cha ujanja ujanja kisichosimamia misingi ya demokrasia.
Kitendo cha viongozi na mashabiki wa CHADEMA kumtukana na kumshambulia Spika wa Bunge kwa kuwa kahoji mamlaka ya Rais juu ya mambo muhimu ya nchi kinasikitisha sana na kinaonyesha bado tuna safari ndefu ya kupata chama makini cha upinzani.
Ndio maana wananchi wamekata tamaa na wamevipotezea vyama vya upinzani kwa sababu ni vyama vya kusaka vyeo na fursa.
Msigwa, Lema, John Mrema wamekivua nguo chama cha CHADEMA.