Nimeshindwa kujizuia jamani

Nimeshindwa kujizuia jamani

Shikamoon wakubwa zangu

Unajua kuna namna ukipita,au ukiwa kwenye Nyakati ngumu unajikuta,huwazi mambo ya ngono na huhitaji mpenzi.

Sasa kwasasa angalau nipo kwenye wakati mzuri .so kuna kitu nakuta nakikosa,mmmh nyege mbaya niwe mkweli nimeshindwa kukaza,mbaya zaidi hata mtu wangu hajawahi nipigia simu.

Tungekuwa wanawake tunatongoza,naona leo ningetafuta lakini ,si taratibu zetu.
Ila hapanaaaaa ,kuwasha si kuwasha viungo vimekaza,kazi zitanishinda leo.

Ngoja nitafute kitu cha kuniweka busy
markhabah..
ni muhimu sana kwanza tuwekane sawa kidogo,

uko sahihi kwamba kupitia wakati mgumu kunaweza kukakukosesha hamu ya kunyanduana au kuwaza mambo ya ngono.

Lakini pia,
jambo ulilosema kwenye hitimisho la hoja yako, yaani kujikeep bize, hili ni muhimu sana kukufanya ukose muda wa kuwaza mambo ya ngono au kunyanduana.

Kwa nyongeza ya hayo,
jambo jingine la muhimu sana ni kwamba, ukipata wasaa wa kufanya mazoezi sahihi, vizuri na kwa ukamilifu, utajikuta una uwezo mkubwa wa kudhibiti hisia zako kingono kirahisi na zingine na kukufanya u focus kwenye mambo yako ya msingi tu. Mtu wa mazoezi hanaga mawazo ya kingono, ila akiwa kwenye game anaichapa kisawasawa.

Lakini ikiwa una kula vya kutosha, unakunywa vya kutosha, unapumzika vya kutosha, huna cha kukushughulisha n.k, unazalisha vichocheo vya mwili wako kwa wingi na hasa vya ngono na kujikuta una mchecheto na huko chini kwenye mbususu kuna mpwitampwita kila wakati kukihitaji kusukutuliwa na mshedede.

Ikiwa huna cha kufanya, nashauri jiunge kwenye mazoezi sahihi mepesi ya kubalance vichocheo vya mwili otherwise utajikuta unakwenda kuchota mimba na magonjwa ya zinaa kirahisi tu 🐒
 
markhabah..
ni muhimu sana kwanza tuwekane sawa kidogo,

uko sahihi kwamba kupitia wakati mgumu kunaweza kukakukosesha hamu ya kunyanduana au kuwaza mambo ya ngono.

Lakini pia,
jambo ulilosema kwenye hitimisho la hoja yako, yaani kujikeep bize, hili ni muhimu sana kukufanya ukose muda wa kuwaza mambo ya ngono au kunyanduana.

Kwa nyongeza ya hayo,
jambo jingine la muhimu sana ni kwamba, ukipata wasaa wa kufanya mazoezi sahihi, vizuri na kwa ukamilifu, utajikuta una uwezo mkubwa wa kudhibiti hisia zako kingono na zingine na kukufanya u focus kwenye mambo yako ya msingi tu.

Lakini ikiwa una kula vya kutosha, unakunywa vya kutosha, unapumzika vya kutosha, huna cha kukushughulisha n.k, unazalisha vichocheo vya mwili wako kwa wingi na hasa vya ngono na kujikuta una mchecheto na huko chini kuna mpwitampwita kila wakati kukihitaji kusukutuliwa na mshedede.

Ikiwa huna cha kufanya, nashauri jiunge kwenye mazoezi sahihi mepesi ya kubalance vichocheo vya mwili otherwise utajikuta unakwenda kuchota mimba na magonjwa ya zinaa kirahisi tu 🐒
Asante mwayaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom