Ndo kwetu au unataka nikwambie naishi wapiKumbe
Mkuu unaona mbali sanaHuu uzi kuna watu sijawaona wakichangia chochote mpaka muda huu. Sijui ni vile wanamuogopa mtoa mada! Maana hatabiriki.
Nina mwaka na miezi tisa ,yaani miezi 21 sijawahi kutana na Me yeyoteNatamani kusema jambo lakini nahisi hii simu itakuwa imeibiwa na haiko mikono salama..
Wanawake tunaishi nao, inawezekana
1. Upo kwenye siku za kunasa mimba (nyakati hz mwili wa mwanamke huchangamka sana)
2. Inawezekana unaangalia picha na video zenye maudhui ya mahaba/ngono
3. Inawezekana ulikuwa haulazi damu kudinywa, sasa umekaa muda kidogo imeleta shida.
Hali hyo inaweza kukuletea "hysteria" (mnaita chekelea)
Jitahid sana kuoga maji ya barid sana, kuwa bize na kazi, epuka stori za kingono ngono, jitahid sana kutembea muda mrefu kwa miguu hata hatua elfu moja.
Usimsifie sana,hata Mimi najua na siwataki waje kwenye huu Uzi,ukiniletea ujuaji na matusi kauli za dharau utanijuq tu Mimi ni mswahili haswaMkuu unaona mbali sana
Eh basiNipo tabata kinyerezi
Kimebanana vizuri mkuu!Nina mwaka na miezi tisa ,yaani miezi 21 sijawahi kutana na Me yeyote
Wewe ndiyo maana sikupigii simu 😂😂Wee koma! Hunijui
Hii nchi ni ngumu sanaKimebanana vizuri mkuu!
Ni vile kila mtu amelipokeaje jambo lako, kuna alieserious nawe ila ukaona anatania.Kitu ninachojifunza kila siku hapa jf ni kwamba mtu ukimwambia uongo,anasema ni ukweli, ukimwambia ukweli anasema ni uongo
kwani unako ka nanilii pembeni? wew sini mdada au unamnunulia mtu 😂😂Najua hujiuzi ila mi nataka kukununua niambie kwa siku moja bei gani?Nitakupa mara mbili ya kiasi utakacho taja.
Uko sawaNina mwaka na miezi tisa ,yaani miezi 21 sijawahi kutana na Me yeyote
nikitoka mimi unafata wew kwenye positive mind huku JF 😎 ngoja tuendelee kuwatafuta wenzetu mdogo mdogoUmalaya na alichoandika ni vitu viwili tofauti kabisa.
Hata kama ni malayahilo ni lake maana hakuna aliyemshuhudia akifanya huo umalaya.. Alichokiandika ni hisia zake kama binadamu yeyote.
Anaonekana malaya kwa sababu ya tatizo la mfumo dume tulionao.
Angeandika mwanaume kwa namna hiyo hiyo aliyoandika Marry angeonekana ni kidume na angepewa ushirikiano wa kutosha na miongozo lukuki namna ya kupata mbunye.
Marry pole, mpigie mhusika aje kutuliza hilo vumbi.
OkUko sawa
Vumilia miezi mitatu, ufike 24 months, hapo utakuwa umevuka kihunzi na utakuwa sawa sana