figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Hi all
Baada ya kutumia jina la kuazima na avatar fake kwa muda mrefu nimeamua kujiunga kwa jina langu halisi. Nina sababu zangu binafsi zinazo nipeleka kubadilisha privacy yangu. Naomba ushirikiano toka kwa members wote. Asanteni
Soraya
Mkuu vipi Wewe hauna Moyo Kama wa Soraya A. SouleymaneDuh una moyo aisee!
Makubwa kivipi tena? Na wewe hii ni picha yako halisi?Du! Kama kweli hii picha ni yako, basi makubwa!
Samahani umefunga? Nilikuwa na salamu zako....
Duh una moyo aisee!
Wakuu, all depend on sababu zangu za kuwepo JF.Congrat'n Soraya,it was a long walk from nowhere to NOW HERE. Nice for having YOU.
mimi najuwa, yeye anajuwa!