Hongera mkuuGood morning...
Kwa akili zangu timamu bila kushawishiwa na mtu yeyote, nimeamua kutumia jina langu halisi Omar B Salum badala ya lile la kubuni @katkit .
Shukran za dhati kwa Mods kwa kupitisha maombi yangu ya kubadili jina, Mungu awabariki sana.
shukran KilimbatzzHongera mkuu
🤣🙃🤣🤣Weka na picha zako mbili, moja full, nyingine passport size
Kumbe hata hili sio jina lako?Ulibadishaje username? mbona Mimi inanishinda mkuu
Ndio mkuu sio langu na hata hilo ninalotaka kuliweka pia sio langu. Vip Kuna tatizo?Kumbe hata hili sio jina lako?
Kubadi mbona rahisi sana! angalia mod ambaye yupo online mtumie pmNdio mkuu sio langu na hata hilo ninalotaka kuliweka pia sio langu. Vip Kuna tatizo?
Tutalimiss KitkatGood morning...
Kwa akili zangu timamu bila kushawishiwa na mtu yeyote, nimeamua kutumia jina langu halisi Omar B Salum badala ya lile la kubuni @katkit .
Shukran za dhati kwa Mods kwa kupitisha maombi yangu ya kubadili jina, Mungu awabariki sana.