Soraya A. Souleymane
Member
- Aug 12, 2012
- 24
- 26
- Thread starter
- #21
Jina lako la zamani ni nani kwani(?)
Ila jina lako kama sio geni masikioni kwangu? Unamjua mzee mmoja anaitwa Kadende au jamaa fulani anaitwa Chirume ana dada yake anaitwa Maria?
Nilitaka kuunganisha jina langu la zamani na hili hapa ila nikaambiwa nisubiri kidogo. Hao watu siwajui, ni nani kwani? Na wewe unamjua Mzee Hanga