Nimepoteza marafiki kisa mke wangu!

Nimepoteza marafiki kisa mke wangu!

Mwanamke anayekutenga na marafiki na ndugu anataka kukutawala!
Nakushauri amka kaka toka usingizin
 
Wewe ni bogus. Huyo mkeo anakutenganisha na ndugu zako na marafiki zako ili akutawale vizuri......divide and rule.... atakupukuchua akimaliza anakutema ukiwa hauna msaada wowote
 
Mkuu trust me,utatajirika na huyo mkeo kavunja cycle ya marafiki zako ambao kwake hajawaelewa.
Pambana
We kweli unakokoto kichwani yaani amevunja marafiki wako na ndugu zako halafu wake amewaacha eti utatajirika kama utajiri ndio upo hivyo basi kila mtu angekua milionea.......punguza umama
 
Marafiki hawawezi kukushauri Uoe Wala ujenge haya maamuzi mtu huwa anafanya yeye mwenyewe kwa kuangalia na kutathmini uwezo wake
Yes wanaweza kuwa na mchango ila sio mkubwa kiasi Cha kusema kama sio wao basi usingefanya
Kifupi jamaa anaweza kuwa kamchoka huyo mwanamke Sasa anatafuta scape goat ili atimize malengo yake but nothing bits a woman who gave him two beautiful children ye afurahishe familia yake na sio marafiki
Labda marafiki zako
 
Asanteni wote kwa mawazo yenu, nafuatilia comments zote ili nitoke na maazi sahihi. Siwezi kumjibu kila mmoja lakini ntakachokifanya hapa ni "Wengi wape". Kwa sababu niliyona moyoni ni mengi kuliko niliyoyaandika.
Shukrani
 
Dalili za mwanamke anayetaka kukutawala ni nyingi ambazo mke wako amezionyesha, hatua ya kwanza huwa ni kukata network yako na watu wako. Ili utakapojaa kwenye 18 zake yaani kuwa kiganjani, kusiwepo na wowote wa kukupa uamsho.
 
Daaah mtihani sana. Katika maisha kila mtu ana nafasi yake. Kuna ndugu mmoja na yeye hivyohivyo alioa kabila moja la kaskazini. Ndugu wa mwanaume wakienda kusalimia kama siku hiyo kumepikwa makande watakula hayo hayo. Ila wakienda ndugu zake zinapikwa bufeee za haja. Akamtenga mwanaume na ndugu zake wote hadi mama yake mzazi. Ana miaka zaidi ya kumi na 15 hajawahi kukanyaga kwa mama yake wala dada zake.
Wakati mama wa mwanaume alihangaika usiku na mchana kulea na kusomesha watoto wake wote. Na kila mmoja akapata kazi alifikia hatua alipata hadi ajali yote katika mapambano ili watoto wake wafikie mafanikio. Matokeo yake mwanamke aliyekutana ukubwani anathamani kuliko ndugu zake. Mungu atusaidie
 
Kuhusu marafiki mpeleleze vizuri,labda wanamtongoza sana. Marafiki nao hua ni wasenge sana hasa wakiwa wanakuzidi kila kitu.
 
Eti ndugu zako HAPANA ila Ndugu zake ndio.
Hapo umeolewa ww.
KAZI ni kipimo cha utu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom