Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 14,535
- 35,045
- Thread starter
-
- #121
Unapenda sana umbea mwanakwetu.😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
You’re back mwanakwetu?
Mbona hukunitumia sasaYani wewe usingesumbuka mimi pdf nilikutunzia mwenyewe… Achana na hao mapampula waliokutumia screen shot pm..!!
Ana matatizo ya akili, anashindwa kutofautisha ndoto anazoota na uhalisia, hakuna mwanamke anaweza kumkubali humu.Kwa kifupi de gunner kajipakulia minyama mpaka misamaki kwamba wewe chombo yake eti..!! 😹😹😹
Sijui hata anaweza kuthibitisha nini, ila aje tu, nipo nimejaa tele!Mi kama kawaida yangu napenda kusikia umbea na umbea umeletwa sa nifanyaje? 😹
Muhimu de Gunner athibitishe hapa na wewe ukiwepo? Au unasemaje mwanakwetu?
Hii rumba ya leo siiwwezi, naona umengia kwa madaha ewe winga😹😹😹😹
Ila chiwawa unapenda kujiamulia mambo..!!
Mchuma janga kaamua kulilaza chini janga lake.
Kijana wangu, bora sasa hata awe mwenza 🤣🤣Hivi JF na hizi Id zetu fake. Mtu anapata wapi ujasiri wa kugombea mwenza?
Na maugomvi ya aina hiyo yapo kweli?
Halafu kuna chokoraa lishaanza kujihisi wakati hata sinaga hesabu nalo, watu fake kwa kujipa umuhimu😂Ni huzuni 🤣🤣🤣
Duuh, pole yake!Alikuwa anashindana na boss wake
😹😹😹Dada niache siwezi hela uwiiiii
Naomba nishuke 🙌🙌
Hivi ni vituko uswahilini, eeeh bwanaee, uswahilin kuna vitukoo.Long time ulienda wapi?
Eti inasemekana de Gunner anayasambaza mtaani kuwa mimi na wewe tunamilikiwa na yeye na kwamba ametuonea huruma sisi sio type yake 😩
Kuna mambo mtaani. (Kwa sauti ya Diamond)
Bye maa 🤗😹😹😹
Sikushushi mpaka utoe dukuduku lako..!!
Aisee hii kumbe kulikuwa na vita ya ma wadada na ma crushes wao?Hapo ni crush tu, siku akiolewa si utatolewa bandama
Ulienda mwenyewe au uko na maMtu?Nipo njian bado
Natokea Bunju kucheza mdundiko
😹😹😹 Tulia wewe..!!Hii ni ya lini tena... 😂
Yule wa kuitwa prida sijui frida mlishamaliza tofauti zenu?Unaamka asubuhi una maadui wapya usiowajua😂 kisa ulilike post ya crush wake utajutraa
Halafu wanajazana ujingaa mpaka unajiuliza hivi humu watu wanajitambua kweli au ndio watoto wengi🤭
Aisee na ulivyo mchokonozi mbona watakubali tu😹😹😹 Tulia wewe..!!
Hapa kuna vita ya crush kucrushiwa na kucrushiana..!!
🤣🤣🤣 Chokoraa tena, ngoja na mimi nilale nisije nikaambiwa kwa nini nacheka mtu kuitwa chokoraaHalafu kuna chokoraa lishaanza kujihisi wakati hata sinaga hesabu nalo, watu fake kwa kujipa umuhimu😂
Hebu nikalale mie!💃🏽
Makebo yamezidi kupata umaarufu jukwaani.Naomba mnijuze, nimepitwa na yapi humu?