Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe 🙂

Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe 🙂

I don’t know what’s going on, and honestly
I don’t want to be involved
I’d really appreciate it if you could leave me out of all this
Please respect my decision 🙏🙏

NB: Sina mafumbo na mtu naomba niacwe hii ni last reply 🙏🙏
Sijui kinge mahi 😹

Ndo umesemaje hapo? Nimemuuliza ChatGPT kajibu Kwamba bwana unaye na unatamba naye hata wa-like mara mia hujali wala neneee aibu ataona yeye! 😹😹😹
 
😹😹😹 Wala hakuna code mambo ni yale yale ya kila siku, kubebeana mabwana na kila mmoja kutaka kuonekana yuko juu kuzidi mwenzie.. na urafiki wa kingese ndo chanzo kikuu 😹

Wanasemana pm eti wengine wazee lakini vibibi 😹

Kama hamtembei na code niambie basi mabwana walioibiwa na aliyewaiba 😎😂
 
Back
Top Bottom