Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe πŸ™‚

Mama labla, nikupe dkk ngapi uwe umelala?
 

Aaah miaka ile ushangingi ulikuwa zaidi
Ukipotea JF masaa matatu unakuta manyoya tu, watu washavuana nguo na uzi umefutwa!!

Miaka hii ustarabu upo kiasi chake

The Icebreaker namcrush hivyo hivyo hata afanyaje
Mie mwenyewe nishawahi kuzinguana nae lakini nitafanyaje sasa? Moyo ushagoma kusukuma damu kmmk πŸ˜‚
 
Ila 🀣🀣
 
😹😹😹 Nilitaka ufike nikupe hapa hapa..!!
Haya nimefika, kuna umbea gani mwingine?
Umbea wa jukwaani wa live kupeleka pm unakuwa haunogi..!! Pm zipelekwe pm zilizovuja ndo vitu napentraaaa..!! 😹
Aliyekuletea ana kiherehere mwambie akakazwe na mizimu ya kwao..!! 😹
Aliyeniletea hakutaka kuona nasemwa kwa mambo ya uongo akanyamaza.
Also niliona Mbaga Jr ananitetea kwenye ule uzi, kwamba huyu chiwawa siyo level zangu, ni mtu wa maana sana mpare wangu!
 
Si mtoe madukuduku mioyo itulie sio kubwatuka na kuugulia moyoni aiseee 😹😹😹😹

Chambaneni kila mmoja amuheshimu mwenzie..!! Ila ushoga wa JF JAU SANA’A 😹

Kwahiyo mwenzenu kakomaa mbibi 😹😹 khaaaaa…!!
 
Aisee watu mna bahati! Wengine ndio mpaka utungwe umbea wa uongo ndio uupate! Kuupata freshy ni ngumuuπŸ€¦πŸ½β€β™€οΈ
 
😁😁 Ila we dada ni mchochezi, hupendi amani kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…