Mkuu wiki lilikaa,nikicheua harufu kama ya mzoga si mzoga,nimevimberwa,tumbo ndi ndi ndio!!! Kula sili,nimeshiba muda wote,chai hata nusu kikombe kinanishinda,choo kinanuka,Rangi mbaya kama utumbo wa Samaki chafi/tasi aliyevuliwa na kukaa bila barafu muda mrefu. Maumivu yake sasa
Makata ndio yakanisaidia sana,hadi leo nina kajichupa kake!!