Nimepigwa zongo wakati nikila chakula

Nimepigwa zongo wakati nikila chakula

'Kuemewa matabano' ndio tiba? Mimi ndio kwanza nimesikia leo hii habari, ila nadhan siyo uchawi ni tatizo tu la kitaalam probably ni flatulence, intestinal obstruction or whatever yenye symptoms za aina hyo

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu unataka kureport surgical emergency.... wenzio wako ulimwengu wa roho hapo hawawez kuwaza hayo

Sent from my iPhone6 using JamiiForums mobile app
 
Haya mambo si ya kuyaamini yatakupotezea muda na pesa yako tu.

Mimi kipindi nahamia ziguani, nilikutana vitisho kama hivi vya kupigwa zongo. Kuna siku nikawa nahisi maumivu ya kichwa, mzee mwenyeji wangu akabwatuka kwa msisitizo ati nimepigwa zongo!
Nikamjibu, "mzee huwa siamini ujinga kama huo, hii itakuwa ni malaria tu" make by then nilifululiza kulala porini kwa mwezi mzima bila chadalua kabla sijatokea hapo kijijini.

Nikajiendea zangu zahanati na kuchua ALU.
Hakuna zongo, ukiendekeza hilo jiandae kila leo kumpelekea mganga jero ili utolewe.
 
mkuu sina hamu na wasambaa hawa wa lushoto walinipiga Zongo La Wiki Bila Mimi Kufahamu, Nkaokolewa Na Mwenyeji Wa Huku Kuwa Nimepigwa Zongo,
Wakati Ndo Mara Ya Kwanza Kulisikia Neno "ZONGO"
 
Ninahitaji msaada wa kitaalamu juu ya hili tatizo kwani linanisumbua sana na pia linaweza kumpata mtu bila kujua kwani huwa katika mazingira usiyoweza kuyaona kwa macho.

Hivyo kwa mtu yeyote anayefaamu kautaalamu kakutegua afanye kweli kuokoa jahazi. Siku hizi kila kona ni mawindoni

Sent using Jamii Forums mobile app
mwambie aliyekupiga akuongezee dose kwa sababu umepigwa zongo na unaandika kuomba msaada JF
 
Haya mambo si ya kuyaamini yatakupotezea muda na pesa yako tu.

Mimi kipindi nahamia ziguani, nilikutana vitisho kama hivi vya kupigwa zongo. Kuna siku nikawa nahisi maumivu ya kichwa, mzee mwenyeji wangu akabwatuka kwa msisitizo ati nimepigwa zongo!
Nikamjibu, "mzee huwa siamini ujinga kama huo, hii itakuwa ni malaria tu" make by then nilifululiza kulala porini kwa mwezi mzima bila chadalua kabla sijatokea hapo kijijini.

Nikajiendea zangu zahanati na kuchua ALU.
Hakuna zongo, ukiendekeza hilo jiandae kila leo kumpelekea mganga jero ili utolewe.

Mkuu hujawahi hujawahi pigwa zongo,Mimi na miaka yangu mingi sikuwahi,ila mwaka jana June nikatembea pahali,wiki nzima niliteseka,nikawa sijui kama ni zongo,hangaika hadi dawa za dukani,kuna mwenyeji akanirambisha tu tuunga tweupe,inatokana na jiwe la mwamba wa mawe,nilipona ndani ya siku 2 na nikanunua kichupa cha dawa,ninacho tu kwa dharura!!
 
Sasa hapo mchawi anapata faida gani kukubania gogo ?

Sent from my iPhone6 using JamiiForums mobile app
Mara nyingi unakuta wanafanyiana utani tu,ukiwa mgeni wanakujaribu tu.

Efm kulikuwa na kipindi jamaa anaelezea unakuta unauzwa jero tu huo uchawi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom