Nimepigwa na Polisi bila hatia

Nimepigwa na Polisi bila hatia

Wakuu poleni na majukumu. Nimeamini sio kila aliyepo jela anayo hatia. Ngoja niwape hii story, Sehemu flani hapa dar huwa kuna njia inapita makaburini na tumezoea kupita kila siku alafu maeneo hayo huwa kuna wahuni wanakulaga bangi, Jana mchana napita niende kwenye harakati kama kawaida kumbe kuna polisi wamelizunguka eneo hilo mimi sijui nashangaa wale wahuni wanakimbia nikawa sielewi nini kinaendelea mara nikakamatwa na wale masela waliokuwa wanakimbia baadhi wakashikwa wakaanza kupewa kipigo na mimi nikaunganishwa kmmmmk nimekula virugu,fimbo kipondo cha maana hadi wamepasua simu yangu kioo nawaeleza mimi sio hawanielewi. Tukapelekwa kituoni wakanimbia ili nitoke niwape 20k, muda huo nilikuwa na 10k tu wakapita nayo. Leo niameamka mwili unauma kinoma sijawahi kupigwa hivi toka nizaliwe. Sema polisi wetu wana njaa sana🚮.
Dah pole mkuu ila na wewe elimu yako Hai kusaidia ukaacha tu kupita maeneo yaliyo katazwa?
 
Wakuu poleni na majukumu. Nimeamini sio kila aliyepo jela anayo hatia. Ngoja niwape hii story, Sehemu flani hapa dar huwa kuna njia inapita makaburini na tumezoea kupita kila siku alafu maeneo hayo huwa kuna wahuni wanakulaga bangi, Jana mchana napita niende kwenye harakati kama kawaida kumbe kuna polisi wamelizunguka eneo hilo mimi sijui nashangaa wale wahuni wanakimbia nikawa sielewi nini kinaendelea mara nikakamatwa na wale masela waliokuwa wanakimbia baadhi wakashikwa wakaanza kupewa kipigo na mimi nikaunganishwa kmmmmk nimekula virugu,fimbo kipondo cha maana hadi wamepasua simu yangu kioo nawaeleza mimi sio hawanielewi. Tukapelekwa kituoni wakanimbia ili nitoke niwape 20k, muda huo nilikuwa na 10k tu wakapita nayo. Leo niameamka mwili unauma kinoma sijawahi kupigwa hivi toka nizaliwe. Sema polisi wetu wana njaa sana🚮.
pole gentleman,
nadhani hiyo ni fursa muhimu sana ya kukuongezea umakini hasa kwenye maeneo ambayo ni maficho ya magenge ya kihalifu.

Nadhani kwa mazingira yalivyo, hapakua na namna ya kukutofuatisha wew na hao bandits ndio maana nawe ukaunganishwa kwenye kipondo 🐒
 
Wakuu poleni na majukumu. Nimeamini sio kila aliyepo jela anayo hatia. Ngoja niwape hii story, Sehemu flani hapa dar huwa kuna njia inapita makaburini na tumezoea kupita kila siku alafu maeneo hayo huwa kuna wahuni wanakulaga bangi, Jana mchana napita niende kwenye harakati kama kawaida kumbe kuna polisi wamelizunguka eneo hilo mimi sijui nashangaa wale wahuni wanakimbia nikawa sielewi nini kinaendelea mara nikakamatwa na wale masela waliokuwa wanakimbia baadhi wakashikwa wakaanza kupewa kipigo na mimi nikaunganishwa kmmmmk nimekula virugu,fimbo kipondo cha maana hadi wamepasua simu yangu kioo nawaeleza mimi sio hawanielewi. Tukapelekwa kituoni wakanimbia ili nitoke niwape 20k, muda huo nilikuwa na 10k tu wakapita nayo. Leo niameamka mwili unauma kinoma sijawahi kupigwa hivi toka nizaliwe. Sema polisi wetu wana njaa sana🚮.

Pole sana.
Ungetakiwa kutoka nduki mkuu.

Wewe unaona watu wanakimbizwa huko alafu wanakuja ulipo unasubiri ukamatwe ili ujieleze?😂😄😄😂

Unakimbia kwanza kujiokoa kisha utajieleza baadaye ukiwa umeepuka
 
Umenikumbusha kipindi niko primary kuna mwanafunzi alikamatwa kaiba mapera basi akashushiwa makofi ya kutosha na mwalimu halafu akaulizwa ulikuwa na nani?.mimi wakati huo najipenyeza nifike mbele si unajua tena wanafunzi wamejaa top sasa ile natokea tu pale mbele jamaa akaninyooshea kidole mimi mwalimu akasema haya kamateni na huyo aisee nilikula kona lakini wapi walinidaka halafu rafiki zangu tulishinda wote kabisa eti na wao wakaunga msafala kunifukuzia..tukabonywa pale tukasepa zetu njiani jamaa akatoa mapera mawili akanigei aliyaweka kwenye begi🤣🤣🤣🤣 aisee SAMSONI KADILO popote ulipo pumbavu zako
 
Nilikuwa smart mkuu ndicho kilichoniokoa nikaitwa na askari nitoke ila wale masela niliwaacha ndani kituoni.

Siku nyingine utumie common sense unapokuta upo kwenye mazingira ya hatari.

Polisi wakikimbiza wahalifu wakavamia eneo hawana muda wa kutofautisha mhalifu na asiye mhalifu wote mtapokea kipigo na kukamatwa. Kisha baadaye ndio itajulikana.

Ni sawa siku ya maandamano unaona risasi zinalia. Badala ukimbie unajipeleka au kutembea tembea kwa kisingizio hukuandamana. Unahatari sana.
 
Wakuu poleni na majukumu. Nimeamini sio kila aliyepo jela anayo hatia. Ngoja niwape hii story, Sehemu flani hapa dar huwa kuna njia inapita makaburini na tumezoea kupita kila siku alafu maeneo hayo huwa kuna wahuni wanakulaga bangi, Jana mchana napita niende kwenye harakati kama kawaida kumbe kuna polisi wamelizunguka eneo hilo mimi sijui nashangaa wale wahuni wanakimbia nikawa sielewi nini kinaendelea mara nikakamatwa na wale masela waliokuwa wanakimbia baadhi wakashikwa wakaanza kupewa kipigo na mimi nikaunganishwa kmmmmk nimekula virugu,fimbo kipondo cha maana hadi wamepasua simu yangu kioo nawaeleza mimi sio hawanielewi. Tukapelekwa kituoni wakanimbia ili nitoke niwape 20k, muda huo nilikuwa na 10k tu wakapita nayo. Leo niameamka mwili unauma kinoma sijawahi kupigwa hivi toka nizaliwe. Sema polisi wetu wana njaa sana🚮.
Sema polisi wetu wana njaa sana🚮.
 
Watanganyika kila sehemu ni kilio tu ndini na nje zenji. Ungekua mzenji ungeachwa tu.
Kazi ni kipimo cha utu
 
Back
Top Bottom