Nimepigwa na Polisi bila hatia

Nimepigwa na Polisi bila hatia

Faru01

Member
Joined
Jun 29, 2022
Posts
88
Reaction score
294
Wakuu poleni na majukumu. Nimeamini sio kila aliyepo jela anayo hatia.

Ngoja niwape hii story.

Sehemu flani hapa Dar huwa kuna njia inapita makaburini na tumezoea kupita kila siku halafu maeneo hayo huwa kuna wahuni wanakulaga bangi, jana mchana napita niende kwenye harakati kama kawaida kumbe kuna polisi wamelizunguka eneo hilo mimi sijui nashangaa wale wahuni wanakimbia nikawa sielewi nini kinaendelea mara nikakamatwa na wale masela waliokuwa wanakimbia baadhi wakashikwa wakaanza kupewa kipigo na mimi nikaunganishwa, nimekula virugu, fimbo kipondo cha maana hadi wamepasua simu yangu kioo nawaeleza mimi sio hawanielewi.

Tukapelekwa kituoni wakanimbia ili nitoke niwape 20k, muda huo nilikuwa na 10k tu wakapita nayo.

Leo niameamka mwili unauma kinoma sijawahi kupigwa hivi toka nizaliwe. Sema polisi wetu wana njaa sana🚮.
 
Wakuu poleni na majukumu. Nimeamini sio kila aliyepo jela anayo hatia. Ngoja niwape hii story, Sehemu flani hapa dar huwa kuna njia inapita makaburini na tumezoea kupita kila siku alafu maeneo hayo huwa kuna wahuni wanakulaga bangi, Jana mchana napita niende kwenye harakati kama kawaida kumbe kuna polisi wamelizunguka eneo hilo mimi sijui nashangaa wale wahuni wanakimbia nikawa sielewi nini kinaendelea mara nikakamatwa na wale masela waliokuwa wanakimbia baadhi wakashikwa wakaanza kupewa kipigo na mimi nikaunganishwa kmmmmk nimekula virugu,fimbo kipondo cha maana hadi wamepasua simu yangu kioo nawaeleza mimi sio hawanielewi. Tukapelekwa kituoni wakanimbia ili nitoke niwape 20k, muda huo nilikuwa na 10k tu wakapita nayo. Leo niameamka mwili unauma kinoma sijawahi kupigwa hivi toka nizaliwe. Sema polisi wetu wana njaa sana🚮.
Pole sana jaribu kuangalia uvaaji wako na muonekano, uwe smart siku nyingine usije valishwa tairi la moto
 
Wakuu poleni na majukumu. Nimeamini sio kila aliyepo jela anayo hatia. Ngoja niwape hii story, Sehemu flani hapa dar huwa kuna njia inapita makaburini na tumezoea kupita kila siku alafu maeneo hayo huwa kuna wahuni wanakulaga bangi, Jana mchana napita niende kwenye harakati kama kawaida kumbe kuna polisi wamelizunguka eneo hilo mimi sijui nashangaa wale wahuni wanakimbia nikawa sielewi nini kinaendelea mara nikakamatwa na wale masela waliokuwa wanakimbia baadhi wakashikwa wakaanza kupewa kipigo na mimi nikaunganishwa kmmmmk nimekula virugu,fimbo kipondo cha maana hadi wamepasua simu yangu kioo nawaeleza mimi sio hawanielewi. Tukapelekwa kituoni wakanimbia ili nitoke niwape 20k, muda huo nilikuwa na 10k tu wakapita nayo. Leo niameamka mwili unauma kinoma sijawahi kupigwa hivi toka nizaliwe. Sema polisi wetu wana njaa sana🚮.
Makaburi wa wapi Mkuu?
 
Wakuu poleni na majukumu. Nimeamini sio kila aliyepo jela anayo hatia. Ngoja niwape hii story, Sehemu flani hapa dar huwa kuna njia inapita makaburini na tumezoea kupita kila siku alafu maeneo hayo huwa kuna wahuni wanakulaga bangi, Jana mchana napita niende kwenye harakati kama kawaida kumbe kuna polisi wamelizunguka eneo hilo mimi sijui nashangaa wale wahuni wanakimbia nikawa sielewi nini kinaendelea mara nikakamatwa na wale masela waliokuwa wanakimbia baadhi wakashikwa wakaanza kupewa kipigo na mimi nikaunganishwa kmmmmk nimekula virugu,fimbo kipondo cha maana hadi wamepasua simu yangu kioo nawaeleza mimi sio hawanielewi. Tukapelekwa kituoni wakanimbia ili nitoke niwape 20k, muda huo nilikuwa na 10k tu wakapita nayo. Leo niameamka mwili unauma kinoma sijawahi kupigwa hivi toka nizaliwe. Sema polisi wetu wana njaa sana🚮.
Kuna watu kwa mionekano yetu askari hawezi kukushushia kipigo from know where.

Na uhakika Mimi kwa muonekano wangu nisinge pigwa Hilo nakuhakikishia.

Pole ndugu pole sanaa
 
Wakuu poleni na majukumu. Nimeamini sio kila aliyepo jela anayo hatia. Ngoja niwape hii story, Sehemu flani hapa dar huwa kuna njia inapita makaburini na tumezoea kupita kila siku alafu maeneo hayo huwa kuna wahuni wanakulaga bangi, Jana mchana napita niende kwenye harakati kama kawaida kumbe kuna polisi wamelizunguka eneo hilo mimi sijui nashangaa wale wahuni wanakimbia nikawa sielewi nini kinaendelea mara nikakamatwa na wale masela waliokuwa wanakimbia baadhi wakashikwa wakaanza kupewa kipigo na mimi nikaunganishwa kmmmmk nimekula virugu,fimbo kipondo cha maana hadi wamepasua simu yangu kioo nawaeleza mimi sio hawanielewi. Tukapelekwa kituoni wakanimbia ili nitoke niwape 20k, muda huo nilikuwa na 10k tu wakapita nayo. Leo niameamka mwili unauma kinoma sijawahi kupigwa hivi toka nizaliwe. Sema polisi wetu wana njaa sana🚮.
Kazi ya laana ile huwa hawana utu wala huruma kama mbwa aliyepewa kazi ya kung'ata. Huwa hawaangalii ni nani na unafanya nini. Watu wengi sana wamepewa kesi au kufungwa bila hatia.
 
Back
Top Bottom