Huyo mamaako Ana Umri ganiWasalam wakuu.
Katika hali ya kushtukiza na kuchanganya leo hii nimekuta application ya jf kwa simu ya mama..
I don't know ni nani kamwekea hii application au imekuaje kuaje.
Nimeshindwa hata kuifungua ila nime unstaill aiseee....
Yaani imekuaje kuaje wakuu..
Humu ndani humu umakini unatakiwa wa kutosha aiseee
Bado najiuliza kama anatumia jf au laah..
Nimepigwa na butwaa...
Tutazamie mwingine au ni yuleyule Binti sayuni03?!Shida iko wapi sasa kama anatumia kupata habari mbali mbali
Hajui na hatojua na haitokuja tokea..Ila si hajui kama unajiita Poor Brain
Mkuu acha kabisa....Huyo mamaako Ana Umri gani
JF ni kitivo cha uasiJf unaweza jikuta unamwambia mzazi wako atulie bado ni kinda, au unaweza kumuita mvulana 😄😄
Au nyuzi za Tajiri hana baya😁😁Mkuu sawa wapo watu wengi tu..
Ndo mama angu awepo mkuu just imagine et anasomaga nyuzi za Vishu Mtata
Kwa hiyo akuogope?!Pengine mama ako ndio mchepuko wangu humu, jf bana
Si ndio hapo nini cha ajabu , sijmuelewa kwa kweli huyo jamaa .Sasa mamako kutumia jf kuna shida gani mkuu?
Au unamuona hana upeo wa kuchangia!
Yaani kuanzia leo nafikiri atakuwa na adabu kweli kweli atakuwa anaogopa kuzama pm za wadada 😂😂Jf unaweza jikuta unamwambia mzazi wako atulie bado ni kinda, au unaweza kumuita mvulana 😄😄
It doesn't matter.. ndo mana pale kwenye kujisajili JF kuna kipengele cha kuweka umri wako na mwaka wa kuzaliwa, ko nadhani hata kwake zitakuwa zinakuja nyuzi za maana hazitokuwa zinakuja nyuzi za hovyo kama unazokutana nazo wewe 😀Mkuu sawa wapo watu wengi tu..
Ndo mama angu awepo mkuu just imagine et anasomaga nyuzi za Vishu Mtata
Sijakuelewa mkuuTutazamie mwingine au ni yuleyule Binti sayuni03?!
Mkuu sio hvo ila why awe yeye huku...Unaogopa kuzamiwa PM, sasa utamchunga mama yko unamkosea adabu. Jf ya kitambo hii tangu 2006 huko
Unae weza kua unabishana nae sana humu anaweza kua kumbe ndio rafiki Yako sana mtaani mnae saidiana kwa shida na Raha.Usinitishe wewe
Kweli mkuuAcha dharau mkuu hata matani yana mipaka yake...
Mkuu huyu ni bi mkubwa ujue..It doesn't matter.. ndo mana pale kwenye kujisajili JF kuna kipengele cha kuweka umri wako na mwaka wa kuzaliwa, ko nadhani hata kwake zitakuwa zinakuja nyizi za maana hazitokuwa zinakuja nyuzi za hovyo kama unazokutana nazo wewe 😀
Kwani wewe una miaka mingapi?Mkuu sasa kwa hali ya humu jf kweli bi mdashi et awe ana log in...
Imagine tuu
Hii hapana sitaki iwe hvo mkuu
Usihame mkuu, ila kuwa tu mstaarabuHajui na hatojua na haitokuja tokea..
Na yeye sizani kama ka login na kama ka login mimi nalogout nahama humu
Mkuu nimefuta hata sijaichunguza aisee naogopa tuu mpaka sasa selewi why ana hii appUnae weza kua unabishana nae sana humu anaweza kua kumbe ndio rafiki Yako sana mtaani mnae saidiana kwa shida na Raha.
Hata Mimi nimeshtuka sana kusikia kwamfano huo wa mama yaani inaweza kukustajabisha sana ukawa unatuniana misuli na mababa feki humu🤣🤣🤣
Wanaselfika alafu wanafuta faster,huwezi ona..Hajawahi na hatowahi mkuu l..
Alafu mkuu mi uzi wa selfie wote nimeupitia ujue