Msukuma wa dar
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 1,160
- 1,201
- Thread starter
- #241
Tatzo sio pesa. Tatizo ni style ya kuzichukua.
Halafu wew sijui bint sjui n msela unaonekana una kichwa kigumu sanaa..
Nilichoandika n tofauti na madai yako..
Buku buku zipo. Wala hakuna shida ktk hiloo.. Lakini stayle ya kuzichukua ndio amezngua..
Yani mtu anigeuze #Tala af nimuangalie tu. Eti kisa pesa anayoomba ni ndogo..
Narudia tena. Style aliyoanza nayo ya kunipiga ndio kakosea hapo hapo tu.
Angekuwa mjanja angejipa walau muda. Anisome. Tusomane.
Bdae ndio anianzie taratibu, hapo hakuna shida. Tatoa ata laki.
Lakini sio siku ya kwanza tu matatizo yanaanza..
Aiseeee m sio boya walai.






