jaap
JF-Expert Member
- Dec 25, 2018
- 5,344
- 7,103
Lazma ujue kila mwanaume anaye mtongoza mwamke matarajio yake ya kwanza ni kulalanaye, kwaiyo maswala ya ndoa uja badae sana baada ya kutimiza itaji lakwanza, ndiyo sasa tunapima kwenye mizani je anafaa kuwa mke, je anaofu ya mungu, ana tamaa, analizika na anachokipata nk.Siyo kila mwanaume anayetongoza anakuwa anatafuta mpenzi wa kuwa mke baadaye, kuna wanaume wengine wanatongoza kwa lengo la kupiga na kusepa au kuzalisha na kuacha sasa mnataka tuwatambuaje?
Au wanaume mnaotongoza kwa lengo la kuoa huwa mnakuwa na alama zenu mwilini? Msiwalaumu sana wanawake ikiwa hata ninyi wanaume ni wahuni dunia imeharibika sana sasa hivi acheni tu wanawake wajihami jamani maana nao wamechoka kuchezewa na kunyanyaswa na wanaume khaa

