Nimepigwa kiboya. Roho inaniuma!!

Nimepigwa kiboya. Roho inaniuma!!

Ambao hamjaoa mnaishi kwa mateso sana kufukuzia pampuchi.
 
Sasa kama buku ni kubwa sana kwako, angekuja gheto ungempanda bure bila hata fanta na robo mkate?? Kweli, dunia taab sana. Huna hata buku unamtamani mwanamke, sijui ataogea nini ukimaliza show yako
Baelezeeee
 
Vizuri, ngoja nikusotee na wewe ili utumiliki wanaume wawili kwa wakati mumoja kwa ndoa. Hii inapaswa kuwa hivyo ili uweze kupigania usawa unaouhitaji kati ya mwanamke na mwanamme.
Sasa basi kama hamuwezi kubadilisha hiyo mitazamo yenu ndiyo msilalamike wanawake wanapowasumbua kuwapa mizigo na nimesema hiyo ni mitazamo tu kwa sababu kwenye dunia hii hii tunayoishi wapo wanawake wengi walioolewa na wanaume zaidi ya mmoja kwa wakati mmoja
 
Ninyi ndiyo muone huruma kwa wanawake wenu wanaoanza kuchuma mali na ninyi
Tehtehteh... hapana bwana usiseme hivyo huo usemi wa mwanaume maskini si wa kuwa naye mkichuma anakukimbia ni excuses za wanawake wasiotutaka sie tulioanza na wanawake at 0.
 
Vizuri, ngoja nikusotee na wewe ili utumiliki wanaume wawili kwa wakati mumoja kwa ndoa. Hii inapaswa kuwa hivyo ili uweze kupigania usawa unaouhitaji kati ya mwanamke na mwanamme.
Usawa ninaouhitaji? Kwani hao wanawake walioolewa na waume zaidi ya mmoja mimi ndiyo niliwaambia wafanye hivyo au mimi kuna mahali nimesema ninataka kuolewa na waume zaidi ya mmoja? Mimi nimeongea ukweli na uhalisia uliopo kwenye dunia ya sasa
 
Tehtehteh... hapana bwana usiseme hivyo huo usemi wa mwanaume maskini si wa kuwa naye mkichuma anakukimbia ni excuses za wanawake wasiotutaka sie tulioanza na wanawake at 0.
Sawa ila hayo mambo si yapo lakini?
 
We ungeendelea kumwesabia jombaa, mapambano yaendelee.
 
Halafu wew sijui bint sjui n msela unaonekana una kichwa kigumu sanaa..

Nilichoandika n tofauti na madai yako..

Buku buku zipo. Wala hakuna shida ktk hiloo.. Lakini stayle ya kuzichukua ndio amezngua..

Yani mtu anigeuze #Tala af nimuangalie tu. Eti kisa pesa anayoomba ni ndogo..

Narudia tena. Style aliyoanza nayo ya kunipiga ndio kakosea hapo hapo tu.

Angekuwa mjanja angejipa walau muda. Anisome. Tusomane.

Bdae ndio anianzie taratibu, hapo hakuna shida. Tatoa ata laki.

Lakini sio siku ya kwanza tu matatizo yanaanza..

Aiseeee m sio boya walai.
Baelezeeee
 
Back
Top Bottom