Nimepigwa kiboya. Roho inaniuma!!

Nimepigwa kiboya. Roho inaniuma!!

unatutia aibu wanamume wewe utakuwa kamwanaume ka dar bukuuuuuuuuuu???????
 
Kuna Mmoja Juzi mchana tulikubaliana Aje Tudinyane, Mda ulipofika hakutoke kumcheki hakupokea,

Imefika saa 2 usiku Anakanitumia Sms,

My uko Wapi,

nkamjibu Nipo kitaa,

akasema nataka kuja,

nkamuuliza unakja kulala?

Akasema ndiyo ila nina hamu na Kiepe,

nkasema Poa

Nkaacha nilichokua nafanya Nimuwai, si unajua kidume ukishaambiwa na totoz kua inakuja kulala, Nkanunua kiepe na mirinda nyeusi take away. Nkamwambia nimeshafika home, mda kidogo akaibuka, akala kiepe chake akamaliza

Akaanza kujigunisha, nkamuuliza vipi mbona unaguna guna, eti dada kanitumia sms hapa anadai niende mara moja, alafu ndo nirudi, nkasema acha utani, akasema kweli, kamwambia ebu niione akagoma, Nkamwambia hapa hutoki, Akaanza kupayuka sasa unanikataza hili iweje, nkamwambia sipigwi kiboya isitoshe umenipotezea mda, akasonya, nkamchapa makofi mawili akalala mbele akaacha na kisimu chake mpaka leo ajakifata
 
Mimi niliwahi tapeliwa 20000 na mtu sijamgegeda kpita hivi wacha hivi vibuku tano tano, Pia niliwahi tapiliwa Simu ya tecno w 3 ila huyu yuko kitaa namuwazia tu time nimyonge hadi ajikojolee sitaki upuzi Papuchi yake kama ya thamani hata simu yangu pia naipenda.


Jana mwingine nilipatana nkamgegede tukashindwana anatak kumi Goli moja mimi nina 5000 sitaki upuzi wa kike tena
Si muache umalaya mnalalamika nini?
 
Naandika haya huku roho ikiniuma sana. Kabuku ( Tsh 1000 /= ) kangu kameenda kizembe sana. Dah

Siku hizi wadada wamekuwa wepesi sana kutoa namba zao mitandaoni..

Basi bana, juzi kati nkamuomba manzi flani namba. Fasta akanipa. Nkabaki nikijisemea ' Huyu naoa kabisaa '

Basi nkampgia, hakupokea. Bdae nkapga akadai hakuwa na kifurushi, ndio maana kashindwa kuntafuta bda ya kuona misd col.

Nkamwambia uswze. Akasema ' niungie bathiiii bandooo ' kwa sauti yaoo

Kimoyomoyo nkasema ' Tayaliiiiiiiiii '

Ila nkasema fresh, ngoja nijilipue tu. Ile kinyonge nkaenda kwa mangi nkanunua TIGO YA Tsh 1000/= nkamtumia

Athanteeeee ..' Ndio majb yake '

Nkasema fresh Mamilooo.. Takupigia bdae sasa. Akajibu poa.

Asubh nimempgia hakupokea pia. Nmepiga mida hii akadai pia hakuwa na simu plus hana kfurush. ' Niungiee basi bandoooo.. '

Nikasemaaa, Ayaaaaaaaa. Huyu nae vipi. Boyaaaaaàa nini. Kashanigeuzaaa mi falaaa wake sasa...

Sitatuma tena pesa yangu kwa hawa viumbe aiseee..

Buku langu si bora ningeenda kunywa supu ya jelo na chapati mbili.. Na chench ingebaki kabisaa

Nimefuta na namba japo roho bado inauchungu na Buku langu..
Tulisha kubalianaga kwenye kile kikao chetu hakuna kumuunga demu na bando, ww kiherehere chako kimekuponza. Ila wanawake badilikeni sikuhizi wanaume hatuoi wapiga mizinga
 
unadharau buku.

uswazi unapata ugali. ni nauli ya kukupeleka mahali na kukurudisha.
Sawa ila siyo hela ya kumpata mwanamke hivi wanaume mnatuchukuliaje jamani? Yaani mtu anigegede kwa buku? Mimi hata mwanaume anihonge gari kama simpendi hanigegedi ng'oo sembuse buku
 
Kuna Mmoja Juzi mchana tulikubaliana Aje Tudinyane, Mda ulipofika hakutoke kumcheki hakupokea,

Imefika saa 2 usiku Anakanitumia Sms,

My uko Wapi,

nkamjibu Nipo kitaa,

akasema nataka kuja,

nkamuuliza unakja kulala?

Akasema ndiyo ila nina hamu na Kiepe,

nkasema Poa

Nkaacha nilichokua nafanya Nimuwai, si unajua kidume ukishaambiwa na totoz kua inakuja kulala, Nkanunua kiepe na mirinda nyeusi take away. Nkamwambia nimeshafika home, mda kidogo akaibuka, akala kiepe chake akamaliza

Akaanza kujigunisha, nkamuuliza vipi mbona unaguna guna, eti dada kanitumia sms hapa anadai niende mara moja, alafu ndo nirudi, nkasema acha utani, akasema kweli, kamwambia ebu niione akagoma, Nkamwambia hapa hutoki, Akaanza kupayuka sasa unanikataza hili iweje, nkamwambia sipigwi kiboya isitoshe umenipotezea mda, akasonya, nkamchapa makofi mawili akalala mbele akaacha na kisimu chake mpaka leo ajakifata
.
 
Back
Top Bottom