Msukuma wa dar
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 1,160
- 1,201
- Thread starter
- #161
Pesa yangu inaniuma aroooo.. Napanga mashambulizi ya namna gani ya kupata pesa yangu..
Mkikua mtaacha
Mkikua mtaacha
Mm kipimo changu cha chin no chapat 3..minimumHivi hii dozi ya chapati ni lazima iwe mbili tu? Kwanini isiwe moja ama tatu?
Bora umekimbia
Sana na nashangaa kwann unalalama
Tafuta hela kwanza
Kwani papuchi unaichukuliaje? Ingekuwa siyo ya maana ungetafuta namna nyingine ya kumaliza haja zako kila siku!
Wewe ni Mwanaume au Mvulana?
jamaa we sema uliyopigwa ila sio buku, kama sikosei ni buku 10
baharia nshajua umepgwa parefu
Wanaume wengi masikini nao hawanaga shukurani mtu unasema umthamini na umasikini wake yeye anakuona kama taka taka tu anakusaliti au anakuwa yuko na wewe kwa sababu tu hana pesa ya kumfanya awe na wanawake wazuri na siku akizipata anakuona siyo type yake tena anaanza kukufanyia visa kwahiyo ni either uvumilie au ujiengue
Jamani jamani mtuoneee huruma wakuu..Wanaume wengi masikini nao hawanaga shukurani mtu unasema umthamini na umasikini wake yeye anakuona kama taka taka tu anakusaliti au anakuwa yuko na wewe kwa sababu tu hana pesa ya kumfanya awe na wanawake wazuri na siku akizipata anakuona siyo type yake tena anaanza kukufanyia visa kwahiyo ni either uvumilie au ujiengue
Mimi ni kapuku mmoja hivi ambaye ni jobless,hopeless,helpless,defenseless ninayeishi chini ya $1 usd per day.
Yaani hiyo buku kwangu ni matumizi ya siku nzima na chenji inabaki ya kahawa kesho hasubui. Sasa kwa mujibu wa Marianah watu kama mimi hatutakiwi kabisa kuwaza kwichi kwichii ndio niko hapa nawaza
![]()
Mimi ni kapuku mmoja hivi ambaye ni jobless,hopeless,helpless,defenseless ninayeishi chini ya $1 usd per day.
Yaani hiyo buku kwangu ni matumizi ya siku nzima na chenji inabaki ya kahawa kesho hasubui. Sasa kwa mujibu wa Marianah watu kama mimi hatutakiwi kabisa kuwaza kwichi kwichii ndio niko hapa nawaza
![]()










Wapi wewe kwani wanaume huwa mnazingatia ahadi zenu? Ni wanawake wangapi wanaambiwa kuwa wataolewa ila mambo yanakuwa tofauti?
Uko nchi gani mkuu?
siku ukipgwa buku 10, unajilima kitanzi, sa ulitaka nani anunue bando kipnd mnachat
Buku tu mkuu unalia namna hi?![]()
Kumbe kuna watu bado wanalizwa kizembe namna hii