Msukuma wa dar
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 1,160
- 1,201
- Thread starter
- #181
Iyo n bei ya shinyanga kijijini kwetu mkuu.. Tena supu safiiiii kabisaaa..
Unapewa na kipande cha pilipili na limao. Na mchuzi ukiisha unaongezewa na nyama juuu
Yani ni tamuuuu sanaa..
Sasa mkuu kama ng'ombe zinatokea huku, unataka bei ya supu kwa huku shinyanga zifanane na za huko mjini kwenu
Em kuwa sereouz..
Unapewa na kipande cha pilipili na limao. Na mchuzi ukiisha unaongezewa na nyama juuu
Yani ni tamuuuu sanaa..
Sasa mkuu kama ng'ombe zinatokea huku, unataka bei ya supu kwa huku shinyanga zifanane na za huko mjini kwenu
Em kuwa sereouz..
Mkuu angalia buku isikutie gharama za kujitibia magonjwa ya tumbo.
Supu na chapati 1000???
Mtakuja ugua kwa supu za vibudu vya broiler ndugu yangu!!!


