Nimepigwa kiboya. Roho inaniuma!!

Nimepigwa kiboya. Roho inaniuma!!

Niliuliza swali, wanaume huwa mna cha kupoteza kwenye mapenzi tena hasa wanaume kama ninyi wazee wa kupiga na kusepa au kuzalisha na kuacha huwa mna cha kupoteza kwenye mapenzi?
Sisi hatuna mioyo? Sisi sio binadamu au
 
Hivi hii dozi ya chapati ni lazima iwe mbili tu? Kwanini isiwe moja ama tatu?
Kuna sehem moja hapo shaurimoyo kwa Seif Mapilau huwezi kula chapati zake mbili labda uwe hujala wiki nzima
 
Hivyo vigezo mnavyovitakaga wanawake wawe navyo na ninyi wanaume huwa mnakuwaga navyo?
Mwanamke ndiyo wazir mkuu kwenye familia kwaiyo ukipata wazir mkuu asiye jielewa ata watoto malez yao yatakuwa ovyo, na mke ni kiunganishi kati ya ndugu wa Mme na mke, kwaiyo tukioa mwanamke mchoyo asiye na upendo ndugu na jamaa watakuwa awaji kukutembelea.
 
Hapo unawaongelea na wale wanawake wanaotafuta pesa na kuhudumia familia au unawaongelea wanawake magolikipa kina mama wa nyumbani tu?
Mwanamke ndiyo wazir mkuu kwenye familia kwaiyo ukipata wazir mkuu asiye jielewa ata watoto malez yao yatakuwa ovyo, na mke ni kiunganishi kati ya ndugu wa Mme na mke, kwaiyo tukioa mwanamke mchoyo asiye na upendo ndugu na jamaa watakuwa awaji kukutembelea.
 
Back
Top Bottom