Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,494
Na pia anayetakiwa kupewa heshima na kufanyiwa kazi za ndani ni mume na siyo mpenzi sasa mbona wanaume wengi mnataka mfanyiwe hayo kwenye uchumba?Anaetunzwa ni mke
Kama sio mke atatunzwa na baba ake huko ni kuingilia majukumu yasituhusu ila wengi hawalielewi hili ni tamaa tu




