Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,494
Hapana Adam alipewa kila kitu ndipo akapewa Evah yaani mwanamke anatakiwa awe kitu cha mwisho mwanaume kukitafuta baada ya kutafuta vitu vyote na kujikamilisha
Acha kabisa mama la mama anakwambia yaani haitakiwi hata ishtue shtue kidogo ndani ya suruali endapo kama huna hata buku mfukoni. Si kauli za kikatili hizi.![]()

