falcon Q
JF-Expert Member
- Feb 28, 2023
- 1,203
- 3,018
Wewe ukizikwa hata na taifa zima.
Viongozi, wachungaji na masheikh au hata na Malaika nini kitabadilika au utamzidi nini yule aliyetupwa jalalani?
Kuna Watu mnafikiri kwa namna ya kuchekesha sana.
Duuh inashangaza kama mzee kama wewe unafikiri namna hii basi iko shida mahali hivi ni kweli mnaamini kuzika so muhimu tena anyway things a changing