Nimepiga block ombaomba wote mpaka baba na mama

Nimepiga block ombaomba wote mpaka baba na mama

Haya maisha ukizaa usitake umperekeshe mtoto wako, kama hukujipanga ukiwa kijana ni wewe mwenyewe na ujuha wako

Mtu yoyote akisema tu nisaidie kitu flani nakata simu na block juuu, elewa neno mtu yoyote hata kama ni kaka, dada, baba au mama napiga block kila mtu afanye maisha yake sitaki upuuzi wa kuharibiana bajeti apaa

N. B. laana ni neno la kutengezezwa tu Wala hakuna kitu laana kama inavyohisiwa
My sign
 
Haya maisha ukizaa usitake umperekeshe mtoto wako, kama hukujipanga ukiwa kijana ni wewe mwenyewe na ujuha wako

Mtu yoyote akisema tu nisaidie kitu flani nakata simu na block juuu, elewa neno mtu yoyote hata kama ni kaka, dada, baba au mama napiga block kila mtu afanye maisha yake sitaki upuuzi wa kuharibiana bajeti apaa

N. B. laana ni neno la kutengezezwa tu Wala hakuna kitu laana kama inavyohisiwa
Sisi ni pipo
 
Mimi mara nyingi baba au mama akinipigia simu kuhitaji hela hua sijiulizi mara mbili kama kaomba 50k Nampa 100k, mabro itategemea na alivonielekeza 🤔wengn itategemea tupoje mm na ww, wanaume hua tuanasaka Kwa namna ngumu ila hatuli pekee yetu
 
Haya maisha ukizaa usitake umperekeshe mtoto wako, kama hukujipanga ukiwa kijana ni wewe mwenyewe na ujuha wako

Mtu yoyote akisema tu nisaidie kitu flani nakata simu na block juuu, elewa neno mtu yoyote hata kama ni kaka, dada, baba au mama napiga block kila mtu afanye maisha yake sitaki upuuzi wa kuharibiana bajeti apaa

N. B. laana ni neno la kutengezezwa tu Wala hakuna kitu laana kama inavyohisiwa
TAFUTA HELA MZEE, ACHA MALALAMIKO


Watu ambao waliacha starehe zao ili upate kula, kuvaa, kulala, kusoma, hadi baadae umekuja kuwajua wakina Mwajuma ndala ndefu


Kisha sasa hivi wakina Mwajuma ndala ndefu wanahongwa halafu wazazi waonekane ndio wategemezi na hawafai kusaidiwa


Fool and stupid post of the year
 
Haya maisha ukizaa usitake umperekeshe mtoto wako, kama hukujipanga ukiwa kijana ni wewe mwenyewe na ujuha wako

Mtu yoyote akisema tu nisaidie kitu flani nakata simu na block juuu, elewa neno mtu yoyote hata kama ni kaka, dada, baba au mama napiga block kila mtu afanye maisha yake sitaki upuuzi wa kuharibiana bajeti apaa

N. B. laana ni neno la kutengezezwa tu Wala hakuna kitu laana kama inavyohisiwa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom