Hiyo ya waheshimu wazazi wako inafanya Kazi Kwa wazazi tu waliojitambua na kuwekeza upendo WA kutosha Kwa watoto wao toka utotoni ....
Kuna wazazi wengine wa hovyo tu ,hawakuwekeza upendo Kwa watoto wao toka Mwanzo wanataka watoto washakuwa wazima et wawapende kama wao ....kiufupi unavuna ulichopanda wakuu ....
Kama unawapuuza watoto saizii ,huwapi upendo kama baba ,na kuonesha unyenyekevu ,tegemea wakikua kukupuuza tu na Hakuna laana ya kuwapata huo ndio ukweli nawambia ,,wazazi mjitambue mapema ,mnatengeneza mabomu wenyewe baadae mnaanza kuja na vijimaneno vya kwenye bible watoto walishaumia Sana hawana hata hisia na wazazi ,,hovyo kabisa...hata wakisema wasaidi Ni Ile kujivuta sanaaa (Hakuna bond nzuri Kati ya baba na mtoto ,na bond inatengenezwa ) kama unafikili kuzaa tu ndio unaona umemaliza basi utashuhudia mengi ...