Nimepiga block ombaomba wote mpaka baba na mama

Nimepiga block ombaomba wote mpaka baba na mama

Mnambembeleza mtu ambaye kasha jichokea na maisha.Mpaka kafika hapo kala vya wazazi ama walezi vingapi harafu sasa hivi kakua kapata vijisenti ananyea kambi wapuuzi km hawa unawaacha tu majibu hayachelewi l..Ww unamblock mzazi kisa kaomba hela [emoji3064].Ww wablock sana hata simu usiwapigie majibu utakuja kuyapata hapa hapa duniani.
 
Na ukifa ujizike usisumbue watu
Hivi MTU akifa hata msipomzika ,au hata watu Wengi wasipo mzika ,au hata akitupwa tu ,au akazikwa na halmashauri Kwa kukosa ndugu ....

Huyo MTU ambaye kashakuwa maita anapata madhara gani,au Ni hasara gan anapata ,Kwa maana Hakuna kitua anakuwa anajua ...

Maswala ya kusema utazikwa na Nani mbona kama Ni overrated....
 
Hivi MTU akifa hata msipomzika ,au hata watu Wengi wasipo mzika ,au hata akitupwa tu ,au akazikwa na halmashauri Kwa kukosa ndugu ....

Huyo MTU ambaye kashakuwa maita anapata madhara gani,au Ni hasara gan anapata ,Kwa maana Hakuna kitua anakuwa anajua ...

Maswala ya kusema utazikwa na Nani mbona kama Ni overrated....

Kupanga ni kuchagua hakuna madhara utapata
 
Hivi MTU akifa hata msipomzika ,au hata watu Wengi wasipo mzika ,au hata akitupwa tu ,au akazikwa na halmashauri Kwa kukosa ndugu ....

Huyo MTU ambaye kashakuwa maita anapata madhara gani,au Ni hasara gan anapata ,Kwa maana Hakuna kitua anakuwa anajua ...

Maswala ya kusema utazikwa na Nani mbona kama Ni overrated....
Labda angesema ukifiwa
 
Haya maisha ukizaa usitake umperekeshe mtoto wako, kama hukujipanga ukiwa kijana ni wewe mwenyewe na ujuha wako

Mtu yoyote akisema tu nisaidie kitu flani nakata simu na block juuu, elewa neno mtu yoyote hata kama ni kaka, dada, baba au mama napiga block kila mtu afanye maisha yake sitaki upuuzi wa kuharibiana bajeti apaa

N. B. laana ni neno la kutengezezwa tu Wala hakuna kitu laana kama inavyohisiwa
Mkute mtu kama wewe wazazi wako wameuza shamba la familia kukusomesha.
Leo hutaki kutoa msaada.
 
Haya maisha ukizaa usitake umperekeshe mtoto wako, kama hukujipanga ukiwa kijana ni wewe mwenyewe na ujuha wako

Mtu yoyote akisema tu nisaidie kitu flani nakata simu na block juuu, elewa neno mtu yoyote hata kama ni kaka, dada, baba au mama napiga block kila mtu afanye maisha yake sitaki upuuzi wa kuharibiana bajeti apaa

N. B. laana ni neno la kutengezezwa tu Wala hakuna kitu laana kama inavyohisiwa
USalama upo..?
 
Back
Top Bottom