Black Mirror
JF-Expert Member
- Oct 17, 2019
- 968
- 1,269
Huyu jamaa si ndiye huwa anatukana walimu?
kuna wajinga 37 wamelike hii post, inasikitisha sana. kaa ukijua laana IPO labda hao wazazi wako wasikulaani, ww unashindwa kumsaidia mamaaako, shauri yakoHaya maisha ukizaa usitake umperekeshe mtoto wako, kama hukujipanga ukiwa kijana ni wewe mwenyewe na ujuha wako
Mtu yoyote akisema tu nisaidie kitu flani nakata simu na block juuu, elewa neno mtu yoyote hata kama ni kaka, dada, baba au mama napiga block kila mtu afanye maisha yake sitaki upuuzi wa kuharibiana bajeti apaa
N. B. laana ni neno la kutengezezwa tu Wala hakuna kitu laana kama inavyohisiwa
Kuna mzee anapata pension milioni 1 kwa mwezi. Hapohapo hana mtoto wala mtu wa kumhudumia. Mkewe walitengana na mwanamke pia alikua mtumishi hivyo anapata pesa yake ya kila mwezi. La kushangaza huyo mdingi anafosi atumiwe hela kila mwezi na watoto wake. Watoto wanamuuliza unapata M na huna jukumu lolote kusema unasomesha au unalea..pesa unapeleka wapi anaulizwa anakua mkali.TAFUTA HELA MZEE, ACHA MALALAMIKO
Watu ambao waliacha starehe zao ili upate kula, kuvaa, kulala, kusoma, hadi baadae umekuja kuwajua wakina Mwajuma ndala ndefu
Kisha sasa hivi wakina Mwajuma ndala ndefu wanahongwa halafu wazazi waonekane ndio wategemezi na hawafai kusaidiwa
Fool and stupid post of the year
Hapo kwenye (N.B) it makes sense 👊 umetishaHaya maisha ukizaa usitake umperekeshe mtoto wako, kama hukujipanga ukiwa kijana ni wewe mwenyewe na ujuha wako
Mtu yoyote akisema tu nisaidie kitu flani nakata simu na block juuu, elewa neno mtu yoyote hata kama ni kaka, dada, baba au mama napiga block kila mtu afanye maisha yake sitaki upuuzi wa kuharibiana bajeti apaa
N. B. laana ni neno la kutengezezwa tu Wala hakuna kitu laana kama inavyohisiwa
Hapo hata sijamuelewa,wazazi km wapo we hangaika nao tu.Wazazi wako usipowatunza nani atawatunza? Think twice kaka
yasome tena uliyoyaandika kuhusu kuwa block wazazi wako,uone kama akili zako ziko sawaHaya maisha ukizaa usitake umperekeshe mtoto wako, kama hukujipanga ukiwa kijana ni wewe mwenyewe na ujuha wako
Mtu yoyote akisema tu nisaidie kitu flani nakata simu na block juuu, elewa neno mtu yoyote hata kama ni kaka, dada, baba au mama napiga block kila mtu afanye maisha yake sitaki upuuzi wa kuharibiana bajeti apaa
N. B. laana ni neno la kutengezezwa tu Wala hakuna kitu laana kama inavyohisiwa
Hii ndo kanuni yangu siku zote na napata zingine zina flowPesa ina mfumo mmoja tuu , hii Siri ni nadra kukuambia mtu , ukiipata jitahidi kuitoa Kwa Jambo Jema , eg kusaidia watu wenye uhitaji Kwa ambao unawafahamu ni vzuri zaidi , kutoa sadaka n.k , pesa ukiing'ang'ania hutakuja kuipata kamwe , ndo mana wanawake wengi hawana mzizi wa Pesa , Kwa sababu walinyimwa mkono wa Kutoa, wao hupenda kupokea Ila kuitoa ni ngumu Wengi wao daima hudumu kuwa omba omba mpak wanakufa,
Nakazia hapa mkuu [emoji419][emoji419]Umasikini mbaya sana.
Any way. Kila raheli
Kila mtu amuombe babq AkeHaya maisha ukizaa usitake umperekeshe mtoto wako, kama hukujipanga ukiwa kijana ni wewe mwenyewe na ujuha wako
Mtu yoyote akisema tu nisaidie kitu flani nakata simu na block juuu, elewa neno mtu yoyote hata kama ni kaka, dada, baba au mama napiga block kila mtu afanye maisha yake sitaki upuuzi wa kuharibiana bajeti apaa
N. B. laana ni neno la kutengezezwa tu Wala hakuna kitu laana kama inavyohisiwa
Sijasoma uzi lakini kumuita mzazi wako ombaomba, inaonesha kiasi gani ulivyo mpumbavuHaya maisha ukizaa usitake umperekeshe mtoto wako, kama hukujipanga ukiwa kijana ni wewe mwenyewe na ujuha wako
Mtu yoyote akisema tu nisaidie kitu flani nakata simu na block juuu, elewa neno mtu yoyote hata kama ni kaka, dada, baba au mama napiga block kila mtu afanye maisha yake sitaki upuuzi wa kuharibiana bajeti apaa
N. B. laana ni neno la kutengezezwa tu Wala hakuna kitu laana kama inavyohisiwa