Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,302
- 96,517
- Thread starter
- #261
aisee hebu patia ile mutu pale pumbavu tatu baridi na nusu kilo ya fuso haraka aongese upumbafu yake.... mimi tayari kisha pata B-E-E- namalizia R-esults niwahi kwa mama yeyoo😛ound:
Hahahaha...Hivi pumbavu tatu ni sawa na biya ngapi na ukizikonveti kwenye tofali zinakuwa ngapi?