Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,352
I love you Double K, will you marry me?
Hahahahahah! Ntake radhi, mimi siyo Yesu. Yeye ndie Bwana wa watu wote.Kwa tabia yako hii utakuja kuoa na wanaume wenzio.....
Try me then. You never know with alcohol.I will nikashajua how stable you are ukiwa umelewa. (stability in everything)
dont make utani kwenye mambo ya KIMUNGU! umeniudhi!Hahahahahah! Ntake radhi, mimi siyo Yesu. Yeye ndie Bwana wa watu wote.
Try me then. You never know with alcohol.
Hahahahahah! Ntake radhi, mimi siyo Yesu. Yeye ndie Bwana wa watu wote.
.
Hahahahahah! Ntake radhi, mimi siyo Yesu. Yeye ndie Bwana wa watu wote.
Try me then. You never know with alcohol.
Hapo awali msimamo wangu ulikuwa kwamba nitaacha pombe endapo tu:
1. Nimeshauriwa na daktari kwa manufaa ya afya yangu.
2: Nimeishiwa kiasi kwamba kununua bia unakuwa mzigo mkubwa
Nilishawishiwa na baadhi ya watumishi wa Mungu kuwa niache pombe, kwa kuwa eti pombe ni dhambi (imagine, eti bia ni dhambi?). Aisee walikaribia kufanikiwa mpaka nilipokutana na Neno Hili Takatifu toka katika kitabu Kitakatifu Cha Mungu. Hapa aliandika Mtakatifu Matayo katika Sura ya 11 ya Injili yake:16"To what can I compare this generation? They are like children sitting in the marketplaces and calling out to others: 17" 'We played the flute for you, and you did not dance; we sang a dirge and you did not mourn.' 18For John came neither eating nor drinking, and they say, 'He has a demon.' 19The Son of Man came eating and drinking, and they say, 'Here is a glutton and a drunkard, a friend of tax collectors and "sinners." ' But wisdom is proved right by her actions."
HILO NDILO NENO LA MUNGU!
Leo ntakunywa bia kwa raha sana.
Ahsanteni na wikiendi njema!!!!
Why dont you give me a chance?
Hapo awali msimamo wangu ulikuwa kwamba nitaacha pombe endapo tu:
1. Nimeshauriwa na daktari kwa manufaa ya afya yangu.
2: Nimeishiwa kiasi kwamba kununua bia unakuwa mzigo mkubwa
Nilishawishiwa na baadhi ya watumishi wa Mungu kuwa niache pombe, kwa kuwa eti pombe ni dhambi (imagine, eti bia ni dhambi?). Aisee walikaribia kufanikiwa mpaka nilipokutana na Neno Hili Takatifu toka katika kitabu Kitakatifu Cha Mungu. Hapa aliandika Mtakatifu Matayo katika Sura ya 11 ya Injili yake:
16"To what can I compare this generation? They are like children sitting in the marketplaces and calling out to others: 17" 'We played the flute for you, and you did not dance; we sang a dirge and you did not mourn.' 18For John came neither eating nor drinking, and they say, 'He has a demon.' 19The Son of Man came eating and drinking, and they say, 'Here is a glutton and a drunkard, a friend of tax collectors and "sinners." ' But wisdom is proved right by her actions."
HILO NDILO NENO LA MUNGU!
Leo ntakunywa bia kwa raha sana.
Ahsanteni na wikiendi njema!!!!
Amen kunyweni kunyweni!
Beer ni Muhimu kuliko hata wanawake sababu
Pombeka week end hii
- Ukienda bar unauhakika kupata beer bila hata kubembeleza
- Ukiagiza bia ya pili ya kwanza haichukii
- Unapoagiza bia unauhakika wewe ndiye wa kwanza kuifungua (huwa bikra)
- Unaweza shirikiana na mwenzako bila wivu
- Ukinywa bia hata ukojoe mara ngapi hamu haiishi
- Bia ni siku zote za mwezi huwa haiendi mwezini wala nyotani, na wala haina siku zake za mood