Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 833
hahahaha Leo tunamwamisha nani meza?Ubaguzi kitu mbaya kwelikweli.....uzuri tunatembea na viroba kifukoni....just incase....
hahahaha Leo tunamwamisha nani meza?Ubaguzi kitu mbaya kwelikweli.....uzuri tunatembea na viroba kifukoni....just incase....
Kimey ni dhambi kuwa kuwaza sanahahahaha The finest...............Kazi ni kwako!!!!
Just the way you like it.. hahahah lol..Hebu changanya na Vodka Ciroc
HahahahaKimey ni dhambi kuwa kuwaza sana
Na bili ya beer itaongezeek a dahhhh
Tequila, Triple Sec na Lime Juice ziwe nyingi kidogo lol!!Just the way you like it.. hahahah lol..
Ukiwahi nyumbani ntakuonjesha nani liii. ..
mmhh hii new cocktail niliyotengeneeza lol...
Ubaguzi kitu mbaya kwelikweli.....uzuri tunatembea na viroba kifukoni....just incase....
:dance::dance::dance:hahahaha Leo tunamwamisha nani meza?
mahaba ni addictive mkuuNyie AD na TF hili sredi la Pombe mmelihamishia kwenye mahaba?
:msela::msela::msela:Nyie AD na TF hili sredi la Pombe mmelihamishia kwenye mahaba?
hapo awali msimamo wangu ulikuwa kwamba nitaacha pombe endapo tu:
1. Nimeshauriwa na daktari kwa manufaa ya afya yangu.
2: Nimeishiwa kiasi kwamba kununua bia unakuwa mzigo mkubwa
nilishawishiwa na baadhi ya watumishi wa mungu kuwa niache pombe, kwa kuwa eti pombe ni dhambi (imagine, eti bia ni dhambi?). Aisee walikaribia kufanikiwa mpaka nilipokutana na neno hili takatifu toka katika kitabu kitakatifu cha mungu. Hapa aliandika mtakatifu matayo katika sura ya 11 ya injili yake:
16"to what can i compare this generation? They are like children sitting in the marketplaces and calling out to others: 17" 'we played the flute for you, and you did not dance; we sang a dirge and you did not mourn.' 18for john came neither eating nor drinking, and they say, 'he has a demon.' 19the son of man came eating and drinking, and they say, 'here is a glutton and a drunkard, a friend of tax collectors and "sinners." ' but wisdom is proved right by her actions."
hilo ndilo neno la mungu!
Leo ntakunywa bia kwa raha sana.
Ahsanteni na wikiendi njema!!!!
Hahahhaha....tofali zinapoahamia bar...........kama ambavyo sikuwa na sababu yoyote ya msingi ya kuanza kunywa kopozz...ndivo ninavyokosa sababu ya msingi ya kuacha
long live tofali za kopo
Hahahhaha....tofali zinapoahamia bar...........
.................................................. ..Inauma sana aisee..................................................
:hand::hand::hand:........."Hodi" ya BAR haiitikiwi "karibu"................:israel::israel::israel:
Kweli kabisa cr@pkama ambavyo sikuwa na sababu yoyote ya msingi ya kuanza kunywa kopozz...ndivo ninavyokosa sababu ya msingi ya kuacha
long live tofali za kopo
Nyie AD na TF hili sredi la Pombe mmelihamishia kwenye mahaba?
hahahaaaaaa..... analeta utani kwenye pombe arifu, we acha nimtoe nyongo tu!!Yesu Kristu Mareale.....Ntakuamisha meza.
Ngumi Jiwe!